jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,390
- 25,510
Mkuu hata Ujamaa unasema Power toi the People! kumbuka tu imani ya itikadi zote hizi ni kumweka mwananchi mbele ya Mtawala lakini in real life inategema mtawala mwenyewe. Castro kwa waCuba anaonekana kuwa ni mtu anayewapa nguvu za maamuzi wananchi wake lakini kiuchumi nguvu hiyo ni kilema cha maendeleo yenyewe.. Hizi ni Politics tu mkuu na Chadema wanachojaribu kuuza hapa ni Politics hivyo utekelezaji wake lazima utazamwe nje ya Chadema kwani CCM pia atatakiwa kuongoza ndani ya mfumo huu huu wa Majimbo. Hivyo Majimbo sio swala la chama kimoja na kwamba kama chadema wakiondoka basi CCM wanaweza kurudisha mikoa...Think beyond.. think nje ya box mkuu.
Thinking beyond or outside the box ni kuthink beyond the system we're used to for more than 30 yrs! kuhakikisha kunakuwa na mijadala mipya ya namna ya kuutokomeza ufisadi for once and for all..Na si kuendelea kupaka wanja kwa miaka mingine lukuki toka tuukwae uhuru wetu!
System ambayo bado haijalipa kwa mtanzania wa kawaida ni system ya kuitupia macho kwa jicho la ku suspect!