CHADEMA yaicharaza CCM Bumbuli, Tanga

CHADEMA yaicharaza CCM Bumbuli, Tanga

Ccm wameweka nguvu zao kwa Lekwatare Huku wakisahau kuwa kuna chaguzi zinaendelea

Kama alivyoeleza mleta mada, Mkuu Tumaini Makene umuhimu wa decentralization (utaratibu wa Majimbo) umeanza kuonekana live japo wenye mawazo yanayoishia usawa wa pua zao waliubeza mwanzoni. Madaraka kupelekwa chini ni muhimu sana; Makao Makuu wabaki na issues nzito za kitaifa na kimataifa kama masuala ya kikatiba na kisheria, strategic plans, n.k.
 
Hongereni Chadema. Ni muendelezo mzuri. 2015 Makamba pia atalazimika kuukabidhi ubunge. Speed ya Makamba ilikuwa nzuri alivyoanza kutetea masuala ya gesi lakini CCM wakaamua kummaliza kwa kumpa unaibu waziri hata hapumui kwa sasa. Alidhani huenda anapata kumbe anapatikana.
 
Bado moto unaendelea kuwaka! Naamini ccm wataamini kuwa muda sio rafiki tena watakapo ona Magogoni panapakwa rangi kwa ajili ya kumkaribisha mteule mpya!

Sasa Mtoi, kama maembe tu hutaki kutukaribisha ndugu zako, ukiingia magogoni tutaweza kukusogelea kweli?
 
viva CHADEMA nakupenda wewe chama makini hongera bumbuli.
 
Sipati picha mtu mzima anatimua mbio na sanduku la kura.....hatareee, hongereni sana makamanda haikuwa kazi rahisi.:rockon:
kawaida sana hiyo mkuu kwa ccm,umesahau mwaka 2005 eti wasimamizi wa kura zanzibar walipotea vituo,wakaja kuonekana jioni.ikawa uchaguzi wote umeharibika
 
Hongereni Sana makamanda tukaze buti tujiondoe kwenye unyonge wa ccm na tbccm yake. Tanzania bila ccm na mafisadi wao inawezekana.
 
Sipati picha mtu mzima anatimua mbio na sanduku la kura.....hatareee, hongereni sana makamanda haikuwa kazi rahisi.:rockon:
kawaida sana hiyo mkuu kwa ccm,umesahau mwaka 2005 eti wasimamizi wa kura zanzibar walipotea vituo,wakaja kuonekana jioni.ikawa uchaguzi wote wa rais zenj umeharibika
 
Propaganda za chadema zimeenea sana ila kitaporomoka gafla sana.
 
Allahu Akbar :rockon: Mwenyezi Mungu anazidi kuwafungua wanatanga macho, siamini kama nyumbani kwetu Tanga wameamka kwa kasi ya ajabu kama hiyo ya kumpigia hodi kijana wa ving'amuzi nyumbani kwake.

Magamba lazima wachanganyikiwe, sijui kama watasema kuwa vyama vya siasa ni vya msimu
 
mods mkimaliza kunywa valuu mziunganishe hizi threads ziwe moja.
 
Kwanini nisiwapongeze watu waliofanya jitihada mpaka wameshinda?

Wanastahili pongezi. Hakuna mtu aliye hack.

Nadhani falsafa yangu wengi wenu hamjaielewa ndio maana mnapata shida kutafsiri ninayoandika...

Nani ataelewa falsafa ya kumkandia Dr Slaa?
 
mods mkimaliza kunywa valuu mziunganishe hizi threads ziwe moja.

sio Valuu, ni Mataputapu na kitimoto huko mabondeni wakimaliza watajua cha kufanya sio unawafundisha kazi
 
Back
Top Bottom