Wapi? Viwanja vya Leganga.
Muda gani? Saa saba mchana.
Tukio: Shukrani kwa Watanzania kusaidia ushindi wa Kata za Kirumba- Mwanza, Songea, na Kiwira-Rungwe Mbeya pamoja na kuongeza Mbunge wa 49 bungeni.
Burudani: Itatolewa na yeyote mwenye uwezo.
Chopa kushambulia anga
Hoja za kitaifa kutolewa na Makamanda wa anga na ardhini
wananchi kukinanga chama.