" WAKIKUBALI WAKIKATAA x 2 NI HALI HALISI" NIMEKUMBUKA VERSE HII YA SUGU LONG TIME NIKIWA PUGU SEC.
MAGAMBA ZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Nina washukuru viongozi wote wa chadema kwa kazi nzuri mliyoifanya na hasa nawashkuru wana Arumeru kwa kukubali kumchagua kijawetu Nasari awe mbunge wenu.Hamjakosea kufanya na mungu atamuongaza na hatimaye taifa zima litakombolewa
Itakuwa vyema na ya kupendeza zaidi, majukumu yaambatanayo na ushindi huo yatakaposherehekewa kwa nguvu zote kama sasa. Implementation of the manifesto is the ultimate triumph...!
Waungwana wanasema mjinga akitambua ,mwelevu upo matatani. Ccm kwa miaka 50 ya uhuni imewafanya watanzania wajinga kama mtaji but M4C haitawaacha salama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.