JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
Peoplesss powerrrr chadema nguvu ya ummma tumeshinda arumeru mashariki ubunge na udiwani kirumba na songeaaa..... Jf freedom of expression
Mbona sredi zote zinazohusu uchaguzi zinaunganishwa lakini hii ambayo ni tetesi tu inaachwa?
Huu ni udhalilishaji wa JF, hata kama ni MMM!
Mbona sredi zote zinazohusu uchaguzi zinaunganishwa lakini hii ambayo ni tetesi tu inaachwa?
Huu ni udhalilishaji wa JF, hata kama ni MMM!
hii ndiyo safari ya mwisho wa kisiasa kwa bwana Ngoyai EL
Kwani matokeo yameshatangazwa rasmi?
Mkuu, kwani habari za kujiuzulu zikoje, mbona mi ndo kwanza nasikia hapa? Au nayo ilikuwa ni 'Exclusive'?My Take:
Bila ya shaka Uongozi wa taifa wa CDM hauna sababu ya kujiuzulu kwa wakati huu! Upepo umevuma upande wao na mtumbwi unaelekea kwenye ushindi 2015:
Mbona sredi zote zinazohusu uchaguzi zinaunganishwa lakini hii ambayo ni tetesi tu inaachwa?
Huu ni udhalilishaji wa JF, hata kama ni MMM!
Nashindwa kusema neno hapa ,Chama chako cha mapinduzi unakijua:A S 39: