CHADEMA yaanza kazi Mbeya Mjini. Mbunge wake aanza kumimina semina elekezi ngazi zote kwenye kata zote

Sawa, unadhani suluhu ya haya ni Kubadili chama?
Ikibidi ni vyema ccm wameshachoka pia wanawadharau sana wananchi ,pia ufisadi kwao ni mfumo ona magufuli anashindwa kuchukua baadhi ya atua kwa kuhofia wastahafu.

Lakini kikiingia chama kingine kitafumua mifumo yote ya kulindana na ufisadi ikibidi wataondolewa kinga viongozi wastahafu na kuweka mifumo imara ya kiuongozi na kiuchumi ambayo itaarakisha maendeleo yetu haraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikumbukwe kwamba siasa za kishirikina za kutembea mitaani na majeneza kama zinavyofanywa na ccm , hazina nafasi kwa jamii iliyostaarabika na ndio maana Chadema imeamua kutumia mbinu za kisomi .
Kesho utakuja na thread ukilia mikutano imepigwa marufuku.nyie watu hamjui mnachotaka
 
Erythrocyte,
Ila tume imeelekezwa kuwa hakuna mpinzani yoyote kushinda uchaguzi.

Chadema hawataki kuamini?
Hill linajulikana sana, na ndilo linafanyiwa kazi kuelekea octoba.
Ni wajibu wa wananchi nao kusaidia kupiga kelele kwani yatakayo tokea ni hatarini pia kwao katika ulinzi wa maisha yao.
Vurugu zikitokea nchini sio tuu maisha ya Mbowe, Sugu au Zitto ndio yako hatarini Bali hata ya Ndugai, Makonda au Mimi na wewe pia.
 
Kwa sasa hatuhitaji wabunge wahuni, tunataka viongozi wasomi na wenye Vision, Mji wa mbeya kwa sasa ni mji wa hovyo kwa kila kitu, Bajaji zimejaa hadi mjini, Ujenzi holela na pollution, Once called a green city now a filthy city, no one cares.
Kwa nini Tunamuhitaji Dr. Tulia . Mbeya Tunahitaji mabadiliko. Sugu tokea awe mbunge hatujaona mabadiliko Wala kuomba miradi ya maendeleo ktka Jimbo lake . Lakini Dr. ni mtu ambaye anaonyesha uelekeo wa kutupa maendeleo. Tutamchagua .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikibidi ni vyema ccm wameshachoka pia wanawadharau sana wananchi ,pia ufisadi kwao ni mfumo ona magufuli anashindwa kuchukua baadhi ya atua kwa kuhofia wastahafu.

Lakini kikiingia chama kingine kitafumua mifumo yote ya kulindana na ufisadi ikibidi wataondolewa kinga viongozi wastahafu na kuweka mifumo imara ya kiuongozi na kiuchumi ambayo itaarakisha maendeleo yetu haraka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unadhani tukiondoa ccm Madarakani, ni Chama gani kina sifa za kuongoza?
 
mbunge anawakilisha wananchi juu ya hali nzuri ya eneo lake na kaisha ya watu..
Kama kuna pollution ama uchafu mjini nk Mbunge ndio mlalamikaji namba moja kwa serikali serikali itekeleze...

Ametoa mifano ya majimbo yenye wabunge wapinzani yanayofanya vizuri hivyo shida sio chama ila Mbunge imara wa kupigia kelele mazingira bora nk.

Badala ya kuelewa anachosema na kuweka kando uchama ... unamkwepesha Mbunge na unashindwa kutofautisha kuwa mbunge sio mesenja wa wananchi ila mdai maendeleo na hali bora za maisha ya eneo na wananchi.
Unajua majukumu ya mbunge au unatapika tu pombe za kienyeji hapa? Kazi za mbunge
  1. Muwakilishi wa wananchi bungeni
  2. Kutunga sheria bungeni
  3. Kuishauri na kuisimamia serekali ndani ya bunge.
Hayo hapo juu ndio majukumu ya mbunge, sasa unapotaka apange mzunguko wa Bajaj mjini ni kama hujui hayo ni majukumu ya nani. Ukitaka hayo madai yako Sugu ayafanyie kazi omba sheria zibadilishwe mbunge ndio ashije hela ili awe anatoa maamuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbunge ndio msimamizi wa kila kitu kinachoendelea kwenye bunge lake ikiwamo ujenzi...

Mbunge ndio mwenye mji...
Kwa nguvu aliyopewa na wananchi atasimamia kila zuri na kukosoa kila baya...

Ndio dila ya serikali katika kila sekta jimbonj kwake..

Ndio mwenye mji na watu na ndio mwenye kuikosoa serikali na kulalamikia yasiyofaa
Kwani ujenzi unasimamiwa na mbunge? Achakuaminisha watu ujinga! Hayo you're uliyoyasema yanasimamiwa na selikari.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yako majimbo ya upinzani yanapata maendeleo.... jamaa ametoa mfano wa Arusha etc
Mkuu jiji la Mbeya lina watu milioni 5, hii ni sensa ya lini? Kazi ya mbunge ni kuwasemea wapiga kura wake, anayejenga barabara na kupanga mji ni serikali yenyewe ambayo inagoma kupeleka maendelea kwenye majimbo yanayoongozwa na upinzani na wakati huo huo majimbo ya wabunge wa chama tawala hayana maendelea kwa sababu wabunge wake hawataki kuibughudhi serikali.

Hivi jimbo la kongwa lina hali gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom