makamanda wa jeshi gani
kamulize nape kamanda ni wa jeshi gani
makamanda wa jeshi gani
Bunge la bajeti linaendelea nyie mnapiga kampeni Iringa. Sioni kama mnawatendea haki wananchi waliowapigia kura.
Hawa Wabunge wa CDM walifukuzwa Bungeni na Spika Makinda kwa siku tano. Ni vema wawaeleze hasa wapiga kura katika majimbo yao, kukosekana haki hata Bungeni. Kauli mbiu ya CDM "Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke"!!!!!!!!!!!!!!
Hawa Wabunge wa CDM walifukuzwa Bungeni na Spika Makinda kwa siku tano. Ni vema wawaeleze hasa wapiga kura katika majimbo yao, kukosekana haki hata Bungeni. Kauli mbiu ya CDM "Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke"!!!!!!!!!!!!!!
Hawa Wabunge wa CDM walifukuzwa Bungeni na Spika Makinda kwa siku tano. Ni vema wawaeleze hasa wapiga kura katika majimbo yao, kukosekana haki hata Bungeni. Kauli mbiu ya CDM "Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke"!!!!!!!!!!!!!!
Wakipewa au tukichukua bila nyie kupenda?? Unadhani tunasubiri hadi muamue...Jaribu kuongea kwa mdomo basiii!!!Hata profesa wao hamna kitu.Mawaziri wao vivuli hawajai hata mkononi. hv kweli wakipewa nchi wataweza kuongoza??
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.
Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.
Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango
babu mzima unaunga Mkono fujo? Mtu anaambiwa kaa chini hataki, toka nje hataki mpaka walipoletwa askari ndo akakubali kutoka kweli Chadema kama Punda hawaendi bila ya bakora, wangepinga kwa kujiuzulu au kukataa posho sio kwa kwenda kuchochea ghasia na kubughudhi watu wanaojitafutia maendeleo!
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.
Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango
babu mzima unaunga Mkono fujo? Mtu anaambiwa kaa chini hataki, toka nje hataki mpaka walipoletwa askari ndo akakubali kutoka kweli Chadema kama Punda hawaendi bila ya bakora, wangepinga kwa kujiuzulu au kukataa posho sio kwa kwenda kuchochea ghasia na kubughudhi watu wanaojitafutia maendeleo!
Hawa Wabunge wa CDM walifukuzwa Bungeni na Spika Makinda kwa siku tano. Ni vema wawaeleze hasa wapiga kura katika majimbo yao, kukosekana haki hata Bungeni. Kauli mbiu ya CDM "Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke"!!!!!!!!!!!!!!
babu mzima unaunga Mkono fujo? Mtu anaambiwa kaa chini hataki, toka nje hataki mpaka walipoletwa askari ndo akakubali kutoka kweli Chadema kama Punda hawaendi bila ya bakora, wangepinga kwa kujiuzulu au kukataa posho sio kwa kwenda kuchochea ghasia na kubughudhi watu wanaojitafutia maendeleo!
Kazi ya Chadema ni kukosoa siyo kupigia makofi serikali ndo maana ya vyama vya ushindani/upinzani duniani kote. Kazi ya Serikali ni kuwaletea wananchi maendeleo kwa kutumia kodi za watanzania wote , wakiwepo wanachadema, na siyo kwa kutumia mishara yao. kukoselewa siyo kulaumiwa.
"Dah!! Kweli Nnape ana kazi!! Hivi nawewe anakulipa kweli kwa UTUMBO huu!!!??"
akae chini kwa vile tu kaomba muongozo kujibu kashfa feki za mwigu ila aliyetukana matusi ya nguoni hamumzungumzii kabisa,na hapa unaonyesha tabia ile ile ya wapuuzi wenu bungeni kwa kumkosea adabu mtu mzima mwenye heshima zake ktk medani za siasa Tz kama huyu,ngoja nikuonyeshe kuwa wendawazimu kama wewe tupo humu. mods naomba nimnyooshe mtu hapa,hivi wewe ulizaliwa mamako akiwa wima nini?ndio maana hauko sawa manake kichwa chako kilipiga chini wakati unakuja duniani ulianguka kama embe na chama chako kitaanguka hivyo hivyo na ndo maana kinaweweseka kama wewe,nyambaf!
Bunge la bajeti linaendelea nyie mnapiga kampeni Iringa. Sioni kama mnawatendea haki wananchi waliowapigia kura.