Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,217
Wakipewa au tukichukua bila nyie kupenda?? Unadhani tunasubiri hadi muamue...Jaribu kuongea kwa mdomo basiii!!!
hamna cha kufanya zaidi ya kupiga kelele kama debe muandamane tena muone
Wakipewa au tukichukua bila nyie kupenda?? Unadhani tunasubiri hadi muamue...Jaribu kuongea kwa mdomo basiii!!!
Ccm acheni longo longo zenu.hadharani munajifanya munapinga ya Chadema.Mukijifungia chumbani munayatendea kazi ya Chadema kwa kuyafanya ni yenu.
Wilaya 70 zinakabiliwa na njaa nchini umakini upo wapi? Acha upumbavu
We mpuuzi kweli! Taarifa za chakula zinasema kuwa mikoa 20 inakabiliwa na njaa kali Tanzania, nawe unaendekeza ujinga huu wa waziri Chiza juu ya kutatua matatizo ya kilimo. Waziri Anataka kutatua matatizo ya kilimo baada ya wananchi wote kufa kwanza kwa njaa? Mbona hukujiuliza kuwa mpango wa serikali wa kilimo kwanza umeleta faida gani Tanzania wakati watu wanakabiliwa na njaa kuu kiasi hicho? Tanzania haitaki bla bla, inataka vitendo.. upulika veve!!Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.
Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango
Samahani!!!! Kwa sasa tupo Iringa kwenye mkutano wa kitaifa na Makamanda....
sasa tufanyeje kama hamtaki tuwakosoe na kuwataka kualakisha maendeleo kwa wananchi tukiwa bungeni.
Hawa Wabunge wa CDM walifukuzwa Bungeni na Spika Makinda kwa siku tano. Ni vema wawaeleze hasa wapiga kura katika majimbo yao, kukosekana haki hata Bungeni. Kauli mbiu ya CDM "Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke"!!!!!!!!!!!!!!
Kazi ya Chadema ni kukosoa siyo kupigia makofi serikali ndo maana ya vyama vya ushindani/upinzani duniani kote. Kazi ya Serikali ni kuwaletea wananchi maendeleo kwa kutumia kodi za watanzania wote , wakiwepo wanachadema, na siyo kwa kutumia mishara yao. kukoselewa siyo kulaumiwa.
Sidhani kama wananchi wanahitaji kuhubiriwa kwenye mikutano wakati kinachoendelea bungeni kinaonyeshwa live.
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.
Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.
Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.
Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango