CHADEMA Yaanikwa Bungeni Jioni Hii!

CHADEMA Yaanikwa Bungeni Jioni Hii!

Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa Chadema kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango

Na vipi kumjibu MB LEMBELI (CCM) kuhusu Malipo ya Wakulima wa PAMBA???
 
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa Chadema kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango

Tuambie basi sababu ya wakulima wa Tanzania luwa ni masikini namna hiyo walivyo kama kuna umakini unaotuambia hapa?
 
Wandugu tuwe makini wakati wa kuwachagua mawaziri vivuli angalau wawe na ujuzi wa cheo husika

Lakini MBONA hawawalipi Wakulima Madeni? Haina tatizo na Mawaziri VIVULI ni CHAMA TAWALA na Serikali yake ndio Tatizo hapa WIZI na UFISADI wewe unatetea hawakupi chochote wanapeleka pesa zao USWISI
 
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa Chadema kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango

Kama serikali iko makini hilo baa la njaa kwenye halmashauri 70 kati ya 136 (51% ya nchi) imetokana na nini MAFILILI)
 
dah, ukiwa ccm ni lazma ziwe robo maana point kama hizi ni za mtu punguan....
 
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa Chadema kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango

aliye makini ni nani?
 
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa Chadema kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango
Hiyo ni hotuba ya kambi ya upinzani,lengo ni kuhighlight weakness ya bajeti ya waziri SIO KUTOA MAJIBU...ITOE MAJIBU..ebo!!!
 
Hivi nchi hii chini ya maccm kilimo kina matumaini ya kumkomboa mkulima kweli?

Angalia bei ya Trekta moja na ulinganishe na wakulima wangapi kwa uchache wanaomudu kununua au hata kukopa na kulipa kupitia kilimo.

CCM ni Janga ktk hili la kiliimo na mengineyo mengi.
 
Fanya ushabiki katika timu za simba na yanga, matatizo ya watanzania sio ya kuchezewa na watu wasio na maana kama wewe. kaa utafakari upya u..mbul..ula wako.
 
Bajeti ya kilimo ni safi sana. Lakini je, itajibu kiu ya wakulima ili wanufaike na kilimo? Falsafa ni nini; kilimo bora au bora kilimo kama kawa!
 
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa Chadema kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango
IPO makini kwa lipi?kama ni maneno matamu yameanza leo? acha unafiki na upambe kwa kusifia hata visivyopaswa kusifiwa.Leo hii takwimu zinakuambia nusu ya wilaya zote zinakabiliwa na tatizo la njaa,unakabiliwaje na njaa kama una sera nzuri na zinazomsaidia mkulima?
Angalia udhaifu wa sera ulivyozaa mlolongo wa kauli mbiu zisizo na mashiko...............kilimo cha kufa na kupona,,,,,,,,,kilimo kwa wote.........kilimo uti wa mgongo,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,kilimo kwanza.
Huku ni kushindwa na huhitaji kusifiwa na hotuba ya waziri kivuli bila kufanya lolote.sitashangaa kama utakuwa huoni kuwa ccm imeshindwa kwenye kilimo na hii inaweza kuwa wewe si mkulima na hivyo kufeli au kufaulu kwa mkulima hakukusaidii.
Mambo muhimu kama kilimo yanayogusa asilimia zaidi ya 75 ya watanzania sio ya kuyafanyia usanii, haijalishi madhara wanayopata wakulima cha msingi ni kumpongeza waziri ili ccm ionekane imefanikiwa!!! so what? kwa nini ucheze na future ya watanzania kwa sababu ya ccm? kwani ccm ni nani? NA ANA UMUHIMU GANI KTK MAISHA YANGU?
 
Dah noma sana hapa mwembetogwa ni peopleeeeeees poweeeeeeeeeers
 
Eti kuandika hivo tu na wewe utaenda kudai ujila kwamba umefanya kazi.

Pole mkuu, tafuta kazi acha umbea na uzembe
 
cha ajabu kipi? umewahi sikia mccm yeyote kasimama bungeni asitaje cdm. je wajua sera mojawapo ya ccm kwa sasa ni kuitaja cdm popote hata bila sababu.?
 
Hivi nchi hii chini ya maccm kilimo kina matumaini ya kumkomboa mkulima kweli?

Angalia bei ya Trekta moja na ulinganishe na wakulima wangapi kwa uchache wanaomudu kununua au hata kukopa na kulipa kupitia kilimo.

CCM ni Janga ktk hili la kiliimo na mengineyo mengi.
Hizi ni kauli za kigaidi hizi.wewe hata trekta moja huna utajuaje bei ya trekta zaidi kutumiwa vibaya hapa jf.
 
Ni kweli Sisiemu ipo Makini, lakini umakini wao upo katika Maneno ya kutuhadaa Wananchi, umakini wa Vitendo haupo kabisa!
 
mbona hujaeleweka umakini upi unaousema au wa kutuletea mbolea feki ya minjingu ebu fafanua.
 
Back
Top Bottom