CHADEMA Yaanikwa Bungeni Jioni Hii!

CHADEMA Yaanikwa Bungeni Jioni Hii!

we acha kuandika utumbo km umeangalia bunge leo na jana wabunge kibao wa ccm wamepinga ule utumbo wa chiza wewe unasifia madudu kha iq yako ndogo sana!
 
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango

kenge wewe kapokeee chako c umeshaumizwa lakini?
 
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango

Naona hujaweka hoja zinazoonesha huo umakini unaouongelea!

Lini tutajikita kwenye hoja badala ya kuongelea watu?!

Waziri kivuli asiye na kiwango!? kiwango kipi unachoongelea? kasemaje?! Hoja ipi ilikua dhaifu?! wapi hoja mbadala?!

Nitashukuru ukinijibu!
 
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango

Ni u.p.u.u.z.i uliopitiliza kila kitu kuleta propaganda na kujaribu kucheza na akili na hisia za Watanzania ambao sasa wanaelekea kukata tamaha!ni miaka mingapi sasa C.c.m imeshika dola hatujaona lolote katika kila sekta ikiwemo hata huko kwenye mapinduzi ya kilimo?wakulima bado ni maskini wakutupwa,bad enough serikali inaua soko la wakulima wake wa ndani kwa kuagiza mazao fake toka nje,huku ikizuia wakulima wa ndani kupeleka mazao yao nchi jirani,matokeo yake ni mazao kuwaozea wakulima maghalani au kuyauza kwa bei ya hasara!serikali wamebaki na kauli mbiu tu,mara kilimo kwanza mara vile!kila siku wao ni kulalamikia Chadema as if Chadema ndio wameshika dola na wanakusanya kodi za Watanzania!nchi inazidi kudidimia kwenye dimbwi la umaskini,elimu inadidimia,afya inadidimia!c.c.m imebaki kujadili mambo ya kitoto na yasiyo na tija kwa taifa ili na kuiota chadema usiku na mchana!ni Mtanzania asiye na fikra tu ndio anaweza akapumbuzwa na hoja za kitoto kama bandiko lako wewe mleta mada!c.c.m imefika mwisho wa uwezo wake katika kudeliver kwa wananchi wa Tanzania,hawana jipya tena,hapo ndio ukomo wao!Watanzania lazima tusimame kwenye ukweli na hoja za msingi kwa ajili ya manufaa ya taifa letu,sio kushabikia vitu vya kijinga na visivyo na tija wakati nafsini mwetu tunajua ukweli uko vipi
 
Wandugu tuwe makini wakati wa kuwachagua mawaziri vivuli angalau wawe na ujuzi wa cheo husika
Kama Vile Mulugo na Wizara ya Elimu, ama Proffessor Wa Maua (Maghembe) na Maji
 
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango

mkuu naomba ufanye editing kidogo, yule wa kwao sio waziri bali ni mlalamikaji mkuu wa wizara ya kilimo
 
CCM bhana ni vituko havi ishi. Sasa wamekuwa walalamishi na kusahau kuwa wao ni wenye Dola. CCM hebu oneni aibu bwana
 
Waziri wa Kilimo Mhandisi Chiza ameichambua HOTUBA ya waziri kilimo wa CHADEMA kuwa haina viwango ilijikita kutoa lawama badala ya majibu muafaka.

Kwa kweli ukifuatilia hotuba ya Waziri Chiza utagundua CCM ipo makini kutatua matatizo ya kilimo wakati CHADEMA wamebaki kupiga kelele kwa kutumia mawaziri vivuli wasio na viwango

mnatatua matatizo ya kilimo au mnayaboresha? mi sio mnachokifanya zaidi ya kupiga kelele.
 
Ni u.p.u.u.z.i uliopitiliza kila kitu kuleta propaganda na kujaribu kucheza na akili na hisia za Watanzania ambao sasa wanaelekea kukata tamaha!ni miaka mingapi sasa C.c.m imeshika dola hatujaona lolote katika kila sekta ikiwemo hata huko kwenye mapinduzi ya kilimo?wakulima bado ni maskini wakutupwa,bad enough serikali inaua soko la wakulima wake wa ndani kwa kuagiza mazao fake toka nje,huku ikizuia wakulima wa ndani kupeleka mazao yao nchi jirani,matokeo yake ni mazao kuwaozea wakulima maghalani au kuyauza kwa bei ya hasara!serikali wamebaki na kauli mbiu tu,mara kilimo kwanza mara vile!kila siku wao ni kulalamikia Chadema as if Chadema ndio wameshika dola na wanakusanya kodi za Watanzania!nchi inazidi kudidimia kwenye dimbwi la umaskini,elimu inadidimia,afya inadidimia!c.c.m imebaki kujadili mambo ya kitoto na yasiyo na tija kwa taifa ili na kuiota chadema usiku na mchana!ni Mtanzania asiye na fikra tu ndio anaweza akapumbuzwa na hoja za kitoto kama bandiko lako wewe mleta mada!c.c.m imefika mwisho wa uwezo wake katika kudeliver kwa wananchi wa Tanzania,hawana jipya tena,hapo ndio ukomo wao!Watanzania lazima tusimame kwenye ukweli na hoja za msingi kwa ajili ya manufaa ya taifa letu,sio kushabikia vitu vya kijinga na visivyo na tija wakati nafsini mwetu tunajua ukweli uko vipi

mkuu hawa ndio wale walioajiriwa kuandika andika upuuzi kama huu mitandaoni. Kifo kikishafika huwezi kukwepa. wanapoteza mda wao.Na tukishawachomoa madarakani watazilipa hizi kodi zetu wanazochezea kuwalipa mamluki kama huyu mleta mada.
 
sasa kweli nimeamini ukitaka kumjibu mjinga ni lazima uwe na akili kama za mwenda wazimu....sasa nyinyi badara ya kutekeleza mambo aliyo washauli FILIKUNJOMBE...nyinyi mna leta blabla hapa......
 
wewe unaumwa ni wapi ambapo CCM imetatua suala la kilimo? aliyekutuma kamwambie nimeshindwa kazi.
 
shkamoo babu,shimboni. Hawa vijana wako ni wahuni sana...hawana hoja wanaishia kufanya vurugu.acha wamalize ujinga wao wakirudi watakuwa wameshika adabu yao mana hata wewe mzee kama michango yako ndio hii basi chama kimekufa hiki

Kwa hiyo Ccm wanahainga usiku na mchana kukihujum Chama kilicho kufa?.Kwa hiyo ugaidi unaopangwa unapangwa na chama kilicho kufa?.Kwa hiyo Mwigulu anampango wakwenda kuitolea ushahidi maiti mahakamani na mbinguni?.
 
Hata profesa wao hamna kitu.Mawaziri wao vivuli hawajai hata mkononi. hv kweli wakipewa nchi wataweza kuongoza??
Jamani seriously naomba msaada. Hivi hotuba ya upinzani inatakiwa ilenge nini? Nauliza kwa kuwa kila mara naona hotuba zao zinalalamikiwa na wakati mwingine kuchanwa. Wao wanatakiwa waseme nini? educate me.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ni kweli Sisiemu ipo Makini, lakini umakini wao upo katika Maneno ya kutuhadaa Wananchi, umakini wa Vitendo haupo kabisa!

....Umakini wao uko pia kwenye Kuteka, kutesa, kung'oa kucha na kutelekeza watu kuleeeee msitu wa ....mabwepande..
 
Back
Top Bottom