CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

Status
Not open for further replies.
Kwa akili hizi CCM Watashinda tena uchaguzi ujao kwa 85%.Huyo Lowassa atadanganywa wee mwishowe afilisike bure
 
Yuko Wapi Wa Kuisusia Tanzania Mkuu? Hivi Nyie Mna AKILI TIMAMU Kweli?


  1. Marekani Na Uingereza....MADINI
  2. China....GESI
  3. Ujerumani....MIUNDOMBINU
  4. Japan....UJENZI
  5. India....USAFIRISHAJI
  6. Sweden, Finland, Belgium Na Denmark.... TAASISI ZA MABENKI, UWEKEZAJI Na ELIMU Hapa Nchini.

Naomba Kuuliza Je Hao " Wapumbavu Na Malofa " WANAOYAPINGA Matokeo Wameenda Ktk Moja Ya Hizo Nchi Tajwa Hapo Juu au Wameenda Kabisa Mbinguni Kwa Mwenyezi Mungu Kusema?

Alaf unaona rahaa kwa kugawa rasilimali zenu kijinga jinga kisa msishtakiwe,huku ukijiona una akili ccm kweli imejaa ma zombie
 
Hapana mkuu. Mimi ni ukawa damu, lakini kwenda ICJ haiwezekani kwa vile ICJ inadeal na migogoro ya nchi na nchi, sio nchi na kitu kisicho nchi. Ukawa labda tuenda mahakama ya haki za binadamu ya Africa au nyingine, hasa kule ambako Late Mtikila alikuwa akienda. Ni uvunjifu wa haki za binadamu kuharibu matakwa ya watu katika uchaguzi.
 
safiiiiiiii..yn safii sana sasa ninepata nguvu

Twendeni makamanda

yani shamra shamra hakuna as if kuna msiba ivi kilichotarajiwa sicho kilichotokea watu wamekata tamaa kabisa

kila rahel makamanda

I expected the same.

Tuwapongeze kwa vile wamechagua njia ya ki diplomasia badala ya short cut.

SAfiiiiiiii... safinaaaaa...!!! ✌✌

Naanza KUTABASAMU...!!!

ICC wajeeeeee...wajeeeee...!!

Hilo ni jambo la maana sana.

Support yangu mnayo. Uhuni huu wa ccm lazima ufike mwisho.

Nafikiri hiyo ni busara na Hekima ya viongozi wa UKAWA.

G Sam napumua kidogo Mungu yupo

kwa nini watuchagulie magufuli ambae hatukumchagua?huu ni uhuni uliotukuka

Tena, This case they can WIN IT... kwa hoja rahisi tu, ya VOTE RIGGING...!!! Sbb copies za MIKOA yote Matokeo ya UCHAGUZI wanazo..!!!

Na Lowassa, Chadema, kapata 10.2 Mil. Votes...!!!

So, NEC watakipata...!! ✌✌

Yaani ukisikia vilaza ndio ninyi sasa, vilaza wa mwisho kabisa duniani ndio CHADEMA na wafuasi wake wote na wanasheria wake wote. Jamani hivi huko CHADEMA hakuna mwenye akili hata mmoja?? Watanzania wenzangu acheni ujinga, ICC inahusika zaidi na uhalifu wa kivita dhidi ya raia. ICC hawahusiki hata kidogo na mambo ya kura na upigaji kura. Google kuhusu ICC hata kama hamjaenda shule mtapata mwanga kidogo. ICC inahusika na mauaji yanayofanywa na serikali husika dhidi ya raia au unaweza kusema uhalifu wa kivita. Sio bure Mzee Mkapa aliwaita viongozi wa UKAWA ni WAPUMBAVU na hakukosea hata kidogo.
 
Kwahiyo imeshitakiwa CCM badala ya tume??
Nyie kweli mko tupu vichwani!!!
Eti CCM leo nao wamepeleka vi thibitisho??
Nyie kweli yenu majungu!!!
 
Wanasheria mahiri wa Chadema wakiongozwa na Tundu Lissu wamefika katika mahakam ya kushughulikia mashitaka dhidi ya uhalifu ya ICC kupeleka rasmi mashitaka yao dhidi ya hujuma na udhalilishaji juu ya uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015.

Wanasheria hao ndiyo wanaosubiriwa na uongozi wa Chadema/UKAWA kuleta mrejesho kabla ya kuchukua hatua zaidi dhidi ya tume na Chama Cha Mapinduzi kutokana na hila zilizofanyika.
We we kweli lofa na mpumbavu.wana umahiri gani ?.hao wanasheria
 
Lowasa anajifanya hajui siasa za Africa zilivyo, huu uchaguzi hata ukirudiwa anashindwa.Arudi aje kusaidia kujenga upinzani
 
Jamani, tuwe sahihi, mimi ni ukawa damu, lakini ICJ huwa ina deal na migogoro ya nchi na nchi, siyo nchi na kitu kisicho nchi. Labda tujaribu mahakama za haki za binadamu, kwani ni uvunjifu wa haki za binadamu kuharibu matakwa ya watu katika uchaguzi. Someni vema U.N Charter ya 1945 ambayo ndio inaanzisha ICJ.
 
NI ICJ SIO ICC.!

NB;
Mahakama hii haina mandate ya kumvua Magufuli ushindi (kuyokana na Katiba yetu ibara ya 41(7) kuzuia. Ila jurisdiction ya Mahakama hii ni kusema kama kuna udanganyifu ulifanyika au lah. Mahakama hii pia inaweza kueleza kama kuna njama za kuhujumu matokeo (conspiracy) zilizofanywa baina ya CCM na Tume ya Uchaguzi. Kwahiyo hata km mahakama hii haiwezi kumvua Magufuli ushindi, lakini hukumu yake inaweza kusababisha uchaguzi urudiwe kama ilivyofanya kwa nchi ya Romania miaka iliyopita.

Jee CCJ haina mamlaka ya kuangalia kama ibara ya 41(6) imefuatwa?

Ibara hiyo inaitangulia ibara ya 41(7) kwa hivyo ili ibara ya 41(7) iweze kuwa na nguvu ya kisheria basi ibara ya 41(6) ambayo ndio inayoelezea haki ya mgombea kuwa Rais halali wa Tanzania lazima iwe imeheshimiwa kwanza.

Hivyo, mtazamo wangu ni kwamba CCJ ina uwezo wa kumtangaza mshindi halali kwa kutumia ibara ya 41(6) kama ushahidi wa CHADEMA kuwa Lowassa ndio Rais halali wa Tanzania utakuwa na vithibitisho halali vya fomu za uchaguzi zilizosainiwa na mawakala wote ukilinganisha na ule wa CCM.

Kama wanasheria wa CHADEMA hawajaongeza hoja hii kwenye madai yao basi wafanye hivyo mara moja ili kuongeza uwezekano wa haki kupatikana kutoka CCJ.

Naambatanisha kipande cha sheria husika hapa
 
mm ninacho penda nikuwa lowasa kaifanya siasa ya Tanzania iingie kwenye level nyingine kabisa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom