Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Mkuu, kwani mtu kuwa Moi hawezi kutoa maagizo kwa watu wa chini yake? Sioni hoja kwa wale wanaotetea upuuzi wanaoufanya chademaAmekunywa tindikali?
Mkuu, kwani mtu kuwa Moi hawezi kutoa maagizo kwa watu wa chini yake? Sioni hoja kwa wale wanaotetea upuuzi wanaoufanya chademaAmekunywa tindikali?
Mkuu, kuna watu taarifa hii imewauma sana kwa vile mpango wao umeumbuliwaMjumbe hauwawi,umesahau?
Mkuu, kwani kuna sababu ya kuweka picha? Au hiyo picha unayoitaka ya nini?Weka picha
Wadau, taarifa nilizozipata kutoka kwa mtonyaji wangu wa CHADEMA jimbo la Kawe kuwa, CHADEMA wanapeleka vijana kufanya vujo Kalenga huku wakivalia mavazi ya ccm. Kwamba Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Lwakatare alimwagiza Kiongozi wa Red Brigade wa jimbo la Kawe, kuwa aandae vijana ambao watapelekwa Kalenga kuanzisha fujo kama zile za Bunda. Kwamba vijana hao watavalishwa nguo za kijani ili waonekane ni wana ccm na watavamia mikutano ya chadema na ikiwezekana kuwajeruhi baadhiya wananchi. Mtoa taarifa amenidokeza kuwa vijana hao wamewasili jana huko Kalenga na kwa sasa wanaratibu mpango huo kwa kushirikiana na makamanda wao huko Kalenga. Amenidokeza kuwa mpango huo huenda ukatekelezwa weekend hii hasa baada ya kuwasili kwa kiongozi wa kampeni kwenye jimbo hilo, Godbless Lema ambaye kwa sasa yupo Bungeni Dodoma.
Mytake, kwa mwendo huu CHADEMA wanaanzisha siasa ambazo ni kinyume na kauli zao kuwa CHADEMA ni Mpango wa Mungu
Naona mmeambiwa mshambulie kutetea upuuzi wenu[/QUOTE]Wewe jamaa utakuwa mchawi,maana tabia za wachawi ni kama ya kwa wakiwaloga watu wanakuwa wa kwanza kutoa tuhuma. Tafadhali muache mauaji CCM
Naona mmeambiwa mshambulie kutetea upuuzi wenu[/QUOTE]Wewe jamaa utakuwa mchawi,maana tabia za wachawi ni kama ya kwa wakiwaloga watu wanakuwa wa kwanza kutoa tuhuma. Tafadhali muache mauaji CCM
Uongo huu ungeweka ushahidi.CCM wanajaribu kujilinda na kujisafisha kwa kile walichofanya na walichopanga kufanya.Kuna video huku kwenye mitandao na tutaisambaza
Wadau, taarifa nilizozipata kutoka kwa mtonyaji wangu wa CHADEMA jimbo la Kawe kuwa, CHADEMA wanapeleka vijana kufanya vujo Kalenga huku wakivalia mavazi ya ccm. Kwamba Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Lwakatare alimwagiza Kiongozi wa Red Brigade wa jimbo la Kawe, kuwa aandae vijana ambao watapelekwa Kalenga kuanzisha fujo kama zile za Bunda. Kwamba vijana hao watavalishwa nguo za kijani ili waonekane ni wana ccm na watavamia mikutano ya chadema na ikiwezekana kuwajeruhi baadhiya wananchi. Mtoa taarifa amenidokeza kuwa vijana hao wamewasili jana huko Kalenga na kwa sasa wanaratibu mpango huo kwa kushirikiana na makamanda wao huko Kalenga. Amenidokeza kuwa mpango huo huenda ukatekelezwa weekend hii hasa baada ya kuwasili kwa kiongozi wa kampeni kwenye jimbo hilo, Godbless Lema ambaye kwa sasa yupo Bungeni Dodoma.
Mytake, kwa mwendo huu CHADEMA wanaanzisha siasa ambazo ni kinyume na kauli zao kuwa CHADEMA ni Mpango wa Mungu
Huo ni upumbavu na ufinyu wa fikra, taarifa ya hatari mtu anatonya JF??? Hajui kuwa vyombo vya dola ambao ndiko anatakiwa apelike hizi taarifa ili hali idhibitiwe na wahusika wapelekwe kwenye vyombo vya sharia? Mkiambiwa mnaropoka mipango mnayotarajia kuifanya mnabisha.Mkuu, kwani mtu kama amepata taarifa ambayo ni ya hatari, asitutonye humu JF? Nampongeza sana ndugu yetu Weston Songoro kutuletea hili