Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,026
- 20,511
Mtonyaji wako kakutonya pabaya, hangaika napo hivyohivyo
Mtonyaji wako kakutonya pabaya, hangaika napo hivyohivyo
Mkuu hii habari ni kweli tena kutoka mkoa wa dar wametoka vijana 15 ambao wamekwenda na fulana za ccm na kofia za ccm watakuwa wanafanya fujo wakiwa wamevaa hizo sare za ccm ili ionekane ni ccm.Mtonyaji wako kakutonya pabaya, hangaika napo hivyohivyo
Tafuta pakujificha pamoja na kupeleka wahuni mtapigwa tu.CCM ITASHINDWA VIBAYA sana KALENGA .
Mkuu hii habari ni kweli tena kutoka mkoa wa dar wametoka vijana 15 ambao wamekwenda na fulana za ccm na kofia za ccm watakuwa wanafanya fujo wakiwa wamevaa hizo sare za ccm ili ionekane ni ccm.
Mbona igunga walivaa na kumwagia watu tindikali kwani washindwe kwenye hili.acha uongo ! Ni aibu sana kwa kamanda kuvaa miguo ya kijani na haitatokea .
Chadema siyo mara ya kwanza kuuwa wala haitakuwa mara yao ya mwisho ndiyo tabia yao ya kitambo ila tushawajua mapema.Tatizo la ccm wanadhani cdm huwa nao huendesha siasa za mauaji kama wao,ccm wanaratibu mpango huu wa fujo so wanaanza kujihami.
Tatizo la ccm wanadhani cdm huwa nao huendesha siasa za mauaji kama wao,ccm wanaratibu mpango huu wa fujo so wanaanza kujihami.
Ccm hawana jipya huyo anatunga badala ya kuwa makini na bunge la katiba
Umekula na umekwisha fusa nenda kalaleMkuu, sidhani kama ni sahihi kusema kuwa taarifa kama hii ni porojo. Pia si vema kutudanganya watanzania kuwa ccm wameelemewa Kalenga. Sote tunajua jinsi hali ya CHADEMA ilivyo mbaya kule
Kesho mimi nitawataja wote tena kwa majina hasa waliotoka mkoa wa dar hasa jimbo la kawe.
Chadema siyo mara ya kwanza kuuwa wala haitakuwa mara yao ya mwisho ndiyo tabia yao ya kitambo ila tushawajua mapema.
Naona umevurugwa mkuuNimekuona habari hii umeiandika ukiwa bunge sasa hivi nimekuona umekaa karibu na mh mnyaa....
Jikite kwenye utungaji katiba kwanza.