Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kwa ujumla wamepata fundisho kuwa taifa letu linahitaji amani ndio maana kila mtanzania anataka kila hitaji la kisiasa lipatikane kwa amani.
Hakuna haja ya kulumbana na kuvutana juu ya suala lolote ambalo ni hitaji la kisiasa. Hakuna haja ya kuleta jazba na vitisho juu ya hitaji la kisiasa ambalo lina nguvu ya umma. Maana hakuna anayeweza kuishinda nguvu ya umma.
Hivyo basi kwa binyo walilopata CHADEMA ni dhahiri kuwa wamejifunza mengi. Na sasa watakuwa na subira juu ya kudai hitaji lolote lile la kisiasa maana hakuna haja ya kuleta vurumai pasipo kuwa na nguvu ya umma.
My take; Nguvu ya umma ni muhimu sana katika kudai katiba mpya, tusidhanie ni suala la CHADEMA peke yao.
Hakuna haja ya kulumbana na kuvutana juu ya suala lolote ambalo ni hitaji la kisiasa. Hakuna haja ya kuleta jazba na vitisho juu ya hitaji la kisiasa ambalo lina nguvu ya umma. Maana hakuna anayeweza kuishinda nguvu ya umma.
Hivyo basi kwa binyo walilopata CHADEMA ni dhahiri kuwa wamejifunza mengi. Na sasa watakuwa na subira juu ya kudai hitaji lolote lile la kisiasa maana hakuna haja ya kuleta vurumai pasipo kuwa na nguvu ya umma.
My take; Nguvu ya umma ni muhimu sana katika kudai katiba mpya, tusidhanie ni suala la CHADEMA peke yao.