Hili suala la udnini halijakaa sawa kabisa ndani ya CDM. kule DMV tumekuwa tukishuhudia minyukano hii ya kidini. Inavyoonekana ndani ya CHADEMA Waislam hawana kabisa nafasi ya uongozi. Kwa wale wanaobahatika wanasakamwa mpaka waonekane hawafai
Hivi eeeeh!! Duuuuh!!