Kwani Serikali inakuwa na Nogwa na CHADEMA wanapokutana katika mambo yao ya katiba mpya na CHADEMA digital lakini wao hata baada ya kuweka katazo la kuwa na mikusanyiko lakin bado wao wanakusanyika
Je na CHADEMA waendeleze mikusanyiko yao ya kutoa elimu ya katiba mpya na CHADEMA digital?
USHAHIDI WA MIKUSANYIKO BAADA YA KUTOA KATAZO
1. Leo Ridhiwani akiwa na wananchi wa kiwangwa bila hata tahadhari yoyote ya afya
2. Waziri uwezo akizindua mradi wa wananchi na mikusanyiko bila ya taadhali ya kiafya
3. Waziri Ummy Mwalimu akiwa sengerema bila ya taadhali yoyote muda mwingine a navaa barakoa muda mwingine havai, sasa hii inatufundisha nini? Kwanini serikali inakuwa na Nogwa na CHADEMA wakifanya yao?
4. Leo Waziri mkuu alikuwa mgeni rasmi kwenye #crdbMarathon pamoja kuwa yupo michezoni lakin kwa muongozo wizara watu inabidi watu wavae barakoa katika mikusanyiko
MWISHO ndio maana watu wanaona kuamasisha kwenu ni maigizo na mnafanya uonevu kwa watu wengine
Pia NDIO MAANA HATA KWENYE DALADALA ZA DAR ES SALAAM wananchi wamewapuuza
Wito: SSh Hacha uonevu kwa wengine dunia ni mapito
Je na CHADEMA waendeleze mikusanyiko yao ya kutoa elimu ya katiba mpya na CHADEMA digital?
USHAHIDI WA MIKUSANYIKO BAADA YA KUTOA KATAZO
1. Leo Ridhiwani akiwa na wananchi wa kiwangwa bila hata tahadhari yoyote ya afya
2. Waziri uwezo akizindua mradi wa wananchi na mikusanyiko bila ya taadhali ya kiafya
3. Waziri Ummy Mwalimu akiwa sengerema bila ya taadhali yoyote muda mwingine a navaa barakoa muda mwingine havai, sasa hii inatufundisha nini? Kwanini serikali inakuwa na Nogwa na CHADEMA wakifanya yao?
4. Leo Waziri mkuu alikuwa mgeni rasmi kwenye #crdbMarathon pamoja kuwa yupo michezoni lakin kwa muongozo wizara watu inabidi watu wavae barakoa katika mikusanyiko
MWISHO ndio maana watu wanaona kuamasisha kwenu ni maigizo na mnafanya uonevu kwa watu wengine
Pia NDIO MAANA HATA KWENYE DALADALA ZA DAR ES SALAAM wananchi wamewapuuza
Wito: SSh Hacha uonevu kwa wengine dunia ni mapito