"CHADEMA Wamechakachua Picha"!

"CHADEMA Wamechakachua Picha"!

Wewe kama huamini hiyo picha subiri upate stroke utakapoona live chama chenu kinaanguka 2015,maana inaonekana bado hutaki kuamini haya yanyotokea sasa hivi.
 
DSC_0230.JPG


Jembe hilo halitishwi wala halibabaiki saa ya ukombozi imefika
 
wapi mbona hakuna kitu hapo au unataka kutuambia nini aise
weka mbadala na sio swala la ingia hapa sijui wapi ambako hakuna kitu

tatizo hajui kuwa wengine tulikuwepo hapo uwanjani, huyu atakufa na ccm yake!
 
Shida yako unatumia hii simu, sasa unategemea nini jamani advocate??
thumbnail.aspx

cha kushangaza calculator niko kwenye PC na najaribu kufungua hakuna kitu aise
na hata hiyo mchina yangu imenikatalia kabisa haisomi aise
weka mbadala hapa nitakuelewa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hiyo picha ya kuchakachua hata kama wewe ni Chadema wakutupwa ebu angalia vizuri hiyo picha ina vipande vitatu, hilo jukwaa halafu angalia katikati watu wamesimama.

usilalamike tuu Rejao toa mbadala wa picha hapa
suala na wewe unaingia kwa wale wanaopenda kulalamika
Toa mbadala na sio kutoa mapungufu ya picha
Kama mkutano ulikuw ana watu hamsini toa picha yake useme kuwa hii iliyoko kwenye mtandao imechakachuliwa
sio suala la kulalamika tuu
 
Last edited by a moderator:
usilalamike tuu Rejao toa mbadala wa picha hapa
suala na wewe unaingia kwa wale wanaopenda kulalamika
Toa mbadala na sio kutoa mapungufu ya picha
Kama mkutano ulikuw ana watu hamsini toa picha yake useme kuwa hii iliyoko kwenye mtandao imechakachuliwa
sio suala la kulalamika tuu

Mambo haya hapa

thumbnail.aspx
 
attachment.php

kuna Mdau kaweka na hii kazi kweli kweli kama vipi kamuombeni kigwangala vitumbua.
 
Jamani hata Michuzi amechakachua?Nenda Michuzi Blog uangalie
 
Mkuu hiyo picha ya kuchakachua hata kama wewe ni Chadema wakutupwa ebu angalia vizuri hiyo picha ina vipande vitatu, hilo jukwaa halafu angalia katikati watu wamesimama.

Na aliyeichakachua atakuwa huyu mleta mada. Tembelea MICHUZI blog utakuta picha nzuri na utitiri wa wa mahudhurio. Michuzi ni pro SSM but neutral, ameweka mambo vizuri na bayana!!! Take a minute to visit!!
 
Wadanganye hao hao na propaganda zako zisizo na mbele wala nyuma......Nilikuwepo uwanji na hii ni sehemu tu ya nyomi ilokuepo hapo uwanjani na sijui ingekuwaje kama kusingetokea na kifo cha Ally, please hata association zingine hazina tija wala uhusiano au ndio ilikuwa janja yenu kuwa muue mtu ili wasije wengi? Pole kwa uvivu wa kufikiria imekula kwenu period...Huo ndio ukweli wenyewe kaandaeni tena kitu ingine ya kuzuia mabadiliko........Nachusikitika sna pale watu wanapopingana na ukweli ni aibu tena mtu mzima, busara si kumkimbiza mwehu chuchumaa uombe msaada hata kwa mpita njia atakusaidia kuliko kukimbia uchi we ndio utaonekana ni mwehu...




Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa

source mjengwa


 
Mkuu hiyo picha ya kuchakachua hata kama wewe ni Chadema wakutupwa ebu angalia vizuri hiyo picha ina vipande vitatu, hilo jukwaa halafu angalia katikati watu wamesimama.
Ritz sasa umezidi, utajivunjia credibility kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom