CHADEMA wakaziwa na Umoja wa Waandishi wa Habari Kanda ya Pwani

Siku hizi magazeti hata kwa wauza vitumbua hayapatikani, tasinia hii imefunikwa na smart phone
 
Mikutano ya Lissu haitangazwi (si na wanahabari wa Pwani tu bali nchi nzima) lakini bado watu wanajitokeza kwa maelfu kumpokea na kumsikiliza. unadhani wanapataje taarifa? laleni tu usingizi wa pono. Upinzani hauhitaji kubusu kalio la mwanahabari yeyote this time.

Kwa kweli kwa IQ ndogo kwenye safu ya uongozi wa sasa wa CCM nina uhakika Mwalimu (RIP mzee wetu) atakuwa anajigeuzageuza kwa hasira kaburini mwake!
 
Mmekumbuka shuka asubuhi. UWHP hamna ruzuku, mnategemea magazeti yaizwe mpate mlo wa siku. Mnatishia wateja wenu tena habari za upinzani ndizo habari kuu kwenye ukurasa wa mbele zinazouza magazeti yenu. Hakuna kuombwa radhi.
 
Sisi tuliokuwa nyumbani tukiangalia uzinduzi wa kampeini za CDM kupitia TBC1 tunajua kero tuliyosababishiwa na TBC1.

Hakukuwa na namna nzuri zaidi ya kuwataka waondoke. Kuondolewa kwao, pengine kuliwasaidia kujua namna nzuri ya kuchukua na kurusha matukio mubashara.

Unaweza kuona utofauti huo kwa kuangalia jinsi walivyorusha ufunguzi wa kampeini za CCM toka Dodoma. Hakukuwa na uingiliaji wa matukio kwa kisingizio cha kudadavua kinachoendelea. Waliacha wananchi tuone na kusikia wenyewe tofauti na hapo awali kwenye tukio la CDM ambapo walikuwa wanakata na kurudi studio eti wanatupa uchambuzi wakati wasikilizaji wanataka kusikia moja kwa moja toka kwa wenye ufunguzi na si mtu wa kati.

Kama kweli hawakuwa na lengo baya basi si weledi wa kuchukua matukio mubashara. Adhabu ya kufukuzwa iliwastahili.
 
I am not sure as whether nowadays watu wanategemea habari za magazeti, local radios or TV stations kwani kwa sasa tunapashana habari kwa social media ambapo baadaye habari hizo unazi sikia redioni au kuona kwenye TV na the next day ndiyo unazikuta kwenye magazeti.
 
Sisi tuliokuwa nyumbani tukiangalia uzinduzi wa kampeini za CDM kupitia TBC1 tunajua kero tuliyosababishiwa na TBC1.

Hakukuwa na namna nzuri zaidi ya kuwataka waondoke. Kuondolewa kwao, pengine kuliwasaidia kujua namna nzuri ya kuchukua na kurusha matukio mubashara...
Jana kwenye ufunguzi wa kampeni za ACT Lindi, most of the time camera silikuwa focused jukwaani na hazioneshi audience wanaposhangilia lakini walijitihadi kuacha sauti za wazungumzaji pasipo kukatisha kwa yale mazungumzo yao kama ya kwenye ufunguzi wa kampeni za CHADEMA.
 
Chadema watashika dola? Dola ile sarafu ya Marekani au?
Kwanguvu za Tiss na policcm wakishirikiana na NEC hawawezi.lakini kwa hiking chama ambayo hakiwezi Kujaza uwanja bila wasanii? Hilo linawezekana CCM inaongezwa na NYAPARA LILILOCHOKA
 
Wanajitekenya wanacheka wenyewe, na sisi hatununui magazeti yao tuone ataumia nani
Yaani njaa ni mbaya sana. Yaani watakao pata hasara sasa ni Chadema au ni waandishi wa habari wenyewe? Chadema iko kwenye roho za watu haihitaji kutangazwa. Ila waandishi wana taka maslahi. Kaleni Ccm uchaguzi ukiisha mtakuja wenyewe
 
Back
Top Bottom