wakuu, kama kawaida, spika ana makinda amekataa mapendekezo yote yaliyopelekwa na wapinzani pursuant to EAC charter kuwa wabunge huchaguliwa kwa uwianao toka bunge la nchi husika. ameshilikia msimamo kuwa ni lazima wabunge 8 watoke ccm na wapinzani kiti kimoja. chadema ili kulinda charte ta EAC, na demokrasia katika ukanda huu wameamua rasmi kujitoa kwenye kinyanganyiro hicho. sasa wanakimbilia kwenye mahakama ya afrika mashariki kutafuta haki
Mtu ambaye yuko kwenye genge la wanyonyaji hii haiwezi kuwa habari njema si Baharia peke yake, maana kesho watachaguana na uchaguzi itabidi urudiwe sasa zile pesa wanazoongana saa hizi usiku huu itabidi waandae bajeti nyingine, maana watakuwa wameununuwa Ubunge kwa bei ya kuruka.Hi habari sio nzuri kwa Le Mutus.
Wamejiondoa au wamesoma alama kwamba watapigwa chini vibaya!
Wakati mwingine wangempitisha tu mtu wao hafu rufaa baadae. Itakuwa too late to catch the moving train. Walimkataa JK, Leo wamemkubali. Waligomea Mchakato wa Katiba Leo wamempeleka Baregu. Sometimes they o not think deep. Wanasusa wenzao wanakula.
Safi sana,uamuzi mzuri
Kwa Tanzania,bibi ki kakurupuka hebu someni hapa hakuna panapoonyesha ccm wapate viti 8
Article 50 (1) provides;
"The National Assembly of each Partner State shall elect, not from among its members, nine members of the Assembly, who shall represent as much as it is feasible, the various political parties represented in the National Assembly, shades of opinion, gender and other special interest groups in that Partner State, in accordance with such procedure as the National Assembly of each Partner state may determine"
hapo kwenye red ndipo chadema wanasimamia kuwa viti vya uwakilishi EALA lazima viendane na idadi ya wabunge ndani ya bunge la jamhuri ambapo upinzani unapaswa kuwakilishwa na wabunge wawili.
mathematically:
CCM: (260/347) X 9 = 6.74 (APPRO. WABUNGE 7)
UPINZANI (86/347) X 9 = 2.23 (APPRO. WABUNGE 2)
CDM's foreseer where are you??
mkuu tupe source.wakuu, kama kawaida, spika ana makinda amekataa mapendekezo yote yaliyopelekwa na wapinzani pursuant to EAC charter kuwa wabunge huchaguliwa kwa uwianao toka bunge la nchi husika. ameshilikia msimamo kuwa ni lazima wabunge 8 watoke ccm na wapinzani kiti kimoja. chadema ili kulinda charte ta EAC, na demokrasia katika ukanda huu wameamua rasmi kujitoa kwenye kinyanganyiro hicho. sasa wanakimbilia kwenye mahakama ya afrika mashariki kutafuta haki