THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
1.Kichwa cha habari hakifanani na habari yenyewe.
2.Ni jukumu la chama cha upinzani kujijengea umaarufu na kujiandaa kwa uchaguzi.
3.Unadai hatuna katiba alafu unasema nchi yetu inaongozwa kwa utawala wa sheria;hoja hii inajiconflict.Unahitaji kujifunza usanifu wa hoja(Sio jukumu langu).
4.Unaamini wabunge hawapaswi kuzunguka na kuinyima usingizi serikali;hiyo ni imani potofu.Kazi ya wabunge ni kuibana na kuisimamia serikali NDANI NA NJE YA BUNGE iwaletee wananchi maendeleo.
5.Kazi ya Slah ni kukijenga chama.Anapozunguka nchini anatimiza wajibu wake.Angezurura nje ya nchi kama JK tungempinga.
6.Unashangaa kumsikia mbowe akisema lazima kieleweke?Ulitaka aseme kisieleweke?
COME AGAIN.
BADAE.
2.Ni jukumu la chama cha upinzani kujijengea umaarufu na kujiandaa kwa uchaguzi.
3.Unadai hatuna katiba alafu unasema nchi yetu inaongozwa kwa utawala wa sheria;hoja hii inajiconflict.Unahitaji kujifunza usanifu wa hoja(Sio jukumu langu).
4.Unaamini wabunge hawapaswi kuzunguka na kuinyima usingizi serikali;hiyo ni imani potofu.Kazi ya wabunge ni kuibana na kuisimamia serikali NDANI NA NJE YA BUNGE iwaletee wananchi maendeleo.
5.Kazi ya Slah ni kukijenga chama.Anapozunguka nchini anatimiza wajibu wake.Angezurura nje ya nchi kama JK tungempinga.
6.Unashangaa kumsikia mbowe akisema lazima kieleweke?Ulitaka aseme kisieleweke?
COME AGAIN.
BADAE.