CHADEMA waita wanachama nchi nzima tarehe 6 Desemba, 2018

CHADEMA waita wanachama nchi nzima tarehe 6 Desemba, 2018

Hujui unalolisema si shangai !! Je unajuwa ni kwa nini KUB analipwa mshahara na kuhudumiwa na serikali ?! Wakati wa In kule US, marehemu Maccain pamoja na kuwa mpinzani wake kwenye uchaguzi, tumeona akiiwakilisha American kwenye mambo mbalimbali, na hata kutembelea majeshi ktk operations zake. Hapa KUB ni kudhalilishwa
Hawajui maana ya umoja wa nchi, wanaufahamu wanapojibu swali tu la kwenye mtihani lakini si kivitendo.
 
kwani walifanya kosa au kura hazikutosha watasubiri sana ccm mbelekwambeleeee tumeipenda wenyeweeee
Wenyewe wanajua kosa Lao na sijui kama watalirudia tena 2020, kama bado nafasi ya kurekebisha watakuwa nayo.
Vinginevyo watabaki na historia.
 
Sawa. Tumeni nauli. Msisahau ya bodaboda kwenda stendi
 
Natamani angeita wafuasi wote kwa masuala kama ya katiba mpya, mafao ya kustaafu, kuzuia watoto wa kike wenye mimba wasiende shule, vitu vinavyomgusa mwananchi moja kwa moja siyo issue personal za kiongozi wa upinzani inawafanya kuonekana kama wanatumia wafuasi wao kwa maslahi yao binafsi tu. Ni bora hata basi wangeitisha maandamano pale Lissu alipopigwa risasi naamini watu wengi wangeitikia wito hata hivyo hebu tuone itakavyokuwa hiyo 6 Desemba kwasababu upinzani wa barabarani unahitajika kwasasa, Wafuasi jitokezeni .
Mbowe ndio mwenye chama.
Hii kuita wanachama huwa inaaply kwa Mbowe tuu.
Kwani kwenye zile kesi zenye mtiti za Tundu Lissu ulishasikia chama kinawaita watu wajae mahakamani?
 
Back
Top Bottom