CHADEMA waita wanachama nchi nzima tarehe 6 Desemba, 2018

CHADEMA waita wanachama nchi nzima tarehe 6 Desemba, 2018

Inapendeza sana maana huyo mnaemwita kichaa kutwa mnalalamika anavunja sheria hakika aishi maisha marefu KUB.

Hujui unalolisema si shangai !! Je unajuwa ni kwa nini KUB analipwa mshahara na kuhudumiwa na serikali ?! Wakati wa In kule US, marehemu Maccain pamoja na kuwa mpinzani wake kwenye uchaguzi, tumeona akiiwakilisha American kwenye mambo mbalimbali, na hata kutembelea majeshi ktk operations zake. Hapa KUB ni kudhalilishwa
 
Haki gani ya kumtetea Mbowe aliyedanganya Mahakama kuwa yuko mahututi SA mara akaibukia Ubelgiji anapiga self na mgonjwa Lissu huku wakikenua meno kama mazuzu?!! Mahakama siyo ya kuchezea pia naamini watz hawawezi kuchezewa kiasi hicho eti waje Kisutu kwa gharama ya nani na wakikamatwa na kuwekwa lupango utawatetea wakati wapo waliondamana kwenye uchaguzi mdogo Kinondoni wanasota na kesi hata ruzuku hawapati ili ziwasaidie bali group la Mbowe ndiyo linapiga ruzuku pekee yao. Hata Kubenea anajua hivyo!
 
Faida ya taifa nini kuwaweka ndani ?! Na kwa sababu zipi hasa ?!
Mbowe c wa kwanza kufutiwa dhamana nchi hii.ni wengi tu walishafutiwa dhamana na wapo lupango.ss huyu mungu wa chadema mnataka sheria zibadilishwe kw ajr yake!!?? Upoyoyo mkubwa huo.
 
WATAPATA TABU SANAAAA WANATAKA KIPIGO CHA MBWA KOKOOOO WAJE TU WAONE
 
Mbowe c wa kwanza kufutiwa dhamana nchi hii.ni wengi tu walishafutiwa dhamana na wapo lupango.ss huyu mungu wa chadema mnataka sheria zibadilishwe kw ajr yake!!?? Upoyoyo mkubwa huo.
Ong'wise kineh ?! Siyo kubadilisha utaratibu wa dhamana wala nini !! Tunachosema mdhamini na wakili wake walimuagia kama utaratibu ulivyo. Lakini inaonyesha mahakama hairidhiki kwa sababu za Mbowe kuonekana ulaya badala SA ilikosemekana ameenda kutibiwa. Acha "mami" mwenzio ajiridhishe kwa kumweka ndani. Lakini anatumika vibaya , kwani utaratibu wa kuagiwa mahakamani Tz upo na haujaanza na Mbowe.
 
Alitoa vielelezo vyake? Pasi yake ya kusafiria inamhuri na tarehe husika? Pili ana vielelezo vya hosp aliyokuwa anatibiwa afrika kusini?! Je maelezo ya mdhamini na wakili wake yanafanana na vielelezo vyake mshitakiwa? ONG'WISE TULEKAGI UBUBMAMA. TUYOMBAGI YANG'HANA DUHU.
Ong'wise kineh ?! Siyo kubadilisha utaratibu wa dhamana wala nini !! Tunachosema mdhamini na wakili wake walimuagia kama utaratibu ulivyo. Lakini inaonyesha mahakama hairidhiki kwa sababu za Mbowe kuonekana ulaya badala SA ilikosemekana ameenda kutibiwa. Acha "mami" mwenzio ajiridhishe kwa kumweka ndani. Lakini anatumika vibaya , kwani utaratibu wa kuagiwa mahakamani Tz upo na haujaanza na Mbowe.
 
kila la kheri huko mahakamani maana alishaambiwa igp wewe unapenda kuimbiwa nyimbo? angalizo siku hizi wakiuwa wanapandishwa vyeo.
 
Safi sana.
Da Mange, Fatuma Karume a.k.a Shangazi na Tundu Lissu wao wanasemaje kuhusu huu uonevu anaofanyiwa kamanda wetu kipenzi Mbowe?
 
Ong'wise kineh ?! Siyo kubadilisha utaratibu wa dhamana wala nini !! Tunachosema mdhamini na wakili wake walimuagia kama utaratibu ulivyo. Lakini inaonyesha mahakama hairidhiki kwa sababu za Mbowe kuonekana ulaya badala SA ilikosemekana ameenda kutibiwa. Acha "mami" mwenzio ajiridhishe kwa kumweka ndani. Lakini anatumika vibaya , kwani utaratibu wa kuagiwa mahakamani Tz upo na haujaanza na Mbowe.
Nyie inaonekana huwaga hamfuatilii yaani aliyekuja kumuagia mbowe alichokisema ni kitu tofauti kabisa na taarifa aliyokuja kuitoa mbowe yaani inaonekana kulikuwa hakuna muunganiko wa vielelzo vya kutumwa kuaga na alivyovipatta mbowe vikashindwa kulink na alivyotoa muagaji wa mwanzo hivyo aliidanganya mahakama mwanzo aliagiwa anaenda kutibiwa south africa yeye kaja kasema katibiwa UAE hamuoni kuwa alidanganya msichululie ushabiki angalieni na ukweli alidanganya huyo afungwe tu
 
#BREAKING_NEWS

Chadema yaita Wanachama wake wote Nchi nzima kufika Kisutu Dar Es Salaam Desemba 6, 2018.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimewataka wanachama wake wote Nchi nzima kufika Mahakamani wakati kesi inayowakabili Viongozi wake watano itakapounguruma ili wajionee uendeshwaji wa kesi na kuamua kwa pamoja nini cha kufanya.

Wito huo wa CHADEMA umekuja Saa chache baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu kuamua kufuta dhamana ya Viongozi wawili wa Chama hicho, Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Jimbo la Tarime Mjini, Ester Matiko kutokana na kukiuka masharti ya dhamana.

Akizungumza na wanahabari, Makao Makuu ya Chama hicho yaliyopo Mtaa wa Ufipa, Kinondoni Jijini Dar ES Salaam, Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dkt. Vicent Mashinji amesema, "Wanachama wa CHADEMA nchi nzima, suala hili ni zito, ni nyeti na linahusu mustakabali wa nchi yetu, usisubiri kusimuliwa njoo uone mwenyewe kinachoendelea Mahakamani kwa sababu kumekuwa na upotoshaji mkubwa".

"Tunaomba tuje tusikilize wenyewe Mahakamani na baada ya hapo tuamue ni hatua gani tutachukua sisi kama Watetea haki wa Watu wote katika Taifa hili," ameongeza.

Aidha katika hatua nyingine, Chama hicho kimeazimia kukata Rufaa katika Mahakama Kuu kwa kile ilichokidai kuwa; ni kupinga juu ya hatua ya kufuta Dhamana ya Viongozi wake iliyofanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

"Tumeamua kukata Rufaa kwenda Mahakama Kuu na tumeshawasilisha Barua yetu, bado tunasubiria watupe namna. Na katika Barua yetu tumeeleza haya mashaka yetu yote juu ya mwenendo wa hii kesi".

Chanzo; East Africa Television (EATV)
Nitakuwepo Mubashara......
 
Kwa hiyo wanachama wote wakija Kisutu ndiyo wataishinikiza mahakama au? Kwa nini chairman Mbowe alikiuka masharti ya dhamana na kusafiri nje ya nchi?
 
mtu kaenda kula bata ubergiji wanadanganya kaenda kutibiwa mpaka wanashindwa hata kutunga uongo wanakosea wacha avune alichokuiwa anakitaka
 
Back
Top Bottom