johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,962
- 141,961
Binafsi naona kuna tatizo kubwa la kuhamahama kwa viongozi wa Chadema pasi na sababu za kueleweka na kuaminika.
Juzi kaondoka mzee Sumaye na kabla ya hapo Dr Bashiru akiwa Zanzibar City alisema ana barua nyingi tu za wabunge na madiwani wa Chadema wanaoomba kuhamia CCM.
Ni vema basi Chadema wakatafuta maridhiano ya ndani ya chama chao kwanza ambako tatizo liko dhahiri.
Maendeleo hayana vyama!
Juzi kaondoka mzee Sumaye na kabla ya hapo Dr Bashiru akiwa Zanzibar City alisema ana barua nyingi tu za wabunge na madiwani wa Chadema wanaoomba kuhamia CCM.
Ni vema basi Chadema wakatafuta maridhiano ya ndani ya chama chao kwanza ambako tatizo liko dhahiri.
Maendeleo hayana vyama!