- Thread starter
- #21
Nyamagana waliona wamepata Mbunge kweli?Hawa ndio tuwape nchi yetu si itakuwa hatari.
Nasindwa hata kuelewa wanachogombania ni nini? tatizo nadhani ni huyu mjaluo Wenje, sijui ana akili gani huyo, hivi kwlei wakazi wa
Nyamagana waliona wamepata Mbunge kweli?Hawa ndio tuwape nchi yetu si itakuwa hatari.
Ngoja niwambie ukweli kwa wale wanaofikiri hizi fujo zililetwa na wanachama halali wanaoipenda chama chao. Ukweli wa mambo ni Matata alitafuta vijana wakwenda kufanya fujo. Usiku wa kuamkia tukio hilo Matata alisikika katika katika hoteli moja ijulikanayo kama Hotel Kingdom ambako alikuwa akinya na watu kadha pamoja na Katibu wa CCM wilaya ya Ilemela na Jamaa mwingine wa CCM. Matata alisikika akipanga jinsi ya kupata watu wakwenda kufanya fujo kesho yake.
Huyu jamaa(matata) ni jangili wa siku nyingi hapa mwanza na anafahamika. Pia anashirikiana na CCM kutaka kuivuruga Chadema.
Hata bunge la India na UK huwa wanazichapa sasa sembuse kwa CDMTabia ya mtu haitibiwa bali ugonjwa ndo unatibiwa-maneno ya babu yangu. Hawa jamaa wa CDM unavyoona wanajibu utumbo hivyo ndivyo walivyokuwanzia wapambe,,wanachama na hata viongozi, sasa wataachaje kuchapana?
Sasa hapo umetumabia ukweli gani zaidi ya kutupotosha tu. Halafu mbona mikoa ya Kanda ya ziwa Viongozi wakuu wa CDM hawaingilii mitafaruku ya chama inayojitokeza? zaidi utasikia arusha na Kilimanjaro 2 why?
Tena hawa jamaa lazima tuwe makini sana inawezakuwa ni wakimbizi kwa sababu mambo ya kupigana pigana sisi hatuna.
Hata bunge la India na UK huwa wanazichapa sasa sembuse kwa CDM
Kwa nini Matata anautaka sana Umeya? alianza na wa Jiji sasa Ilemela. Na anatumia mbinu chafu kama hiyo ya kukaa vikao vya siri na viongozi wa CCM Ilemela na kukodi vijana wa kufanya fujo?unajuaje kama hao waliovamia walitumwa kuvuruga kikao? Naona sasa ccm kinaingilia vikao vya ndani baada ya kushindwa mikutano ya hadhara
Naona umeanza kuharibu mjadala kwa kuweka matusi.
Au una taka kugeuza huu mjadala uwe sehemu ya kufanyia commedy!
Your not serious
Hapo sasa mwenye macho haambiwi tazama. Nasikia Wenje ni raia wa kenya.
Weka ushahidi basi?
Kinyume na hapo unafanya commedy
Tabia ya mtu haitibiwa
bali ugonjwa ndo unatibiwa-maneno ya babu yangu. Hawa jamaa wa CDM
unavyoona wanajibu utumbo hivyo ndivyo walivyokuwanzia
wapambe,,wanachama na hata viongozi, sasa wataachaje kuchapana?
Mkuu umefuatilia ,hakuna mambo ya ukabila na udini huko? sababu za kuchapana ni nini?
Umeonaee! iko siku wakiwa madarakani,utasikia prezidaa kazichapa na pm wake! hawafaiiii!
unajuaje kama hao waliovamia walitumwa kuvuruga kikao? Naona sasa ccm kinaingilia vikao vya ndani baada ya kushindwa mikutano ya hadhara
Nimekuambia ninasikia na lisewalo lipo. Hivi wewe Wenje ni kabira gani vile?
Kwa nini Matata anautaka sana Umeya? alianza na wa Jiji sasa Ilemela. Na anatumia mbinu chafu kama hiyo ya kukaa vikao vya siri na viongozi wa CCM Ilemela na kukodi vijana wa kufanya fujo?
Mwaka 2010 CDM pengine kutokana na uchanga wake kilishindwa kupendekeza watu safi kwa ajili ya kugombea uongozi na wengi walichaguliwa na wananchi sio kwa kuwapenda (kama Matata) bali kwa kuipenda Chadema,ila sasa chama kimesimama kwa miguu yake hivyo makosa yale yasijirudie. Mtu mbovu piga chini msiwe kama CCM jana mtu anaitwa fisadi na leo Jembe.