Hii wala isiwasumbue watanzania mliopitia huu uzi ni kwamba:- Huyu bwana matata kweli alipigwa chini baada ya kukubali kuwa huwa anachukuaga rushwa sasa ni kweli aliomba kuwa Meya wa Ilemela ila kwa sababu alishaonekana ana matatizo ambayo ni kashfa kwa CDM waliamua pamoja na mahakama kumtaka aendelee kuwakilisha wananchi lkn jina lake lilikosa sifa ya yy kuwa meya maana waloomba walikuwa zaidi ya watu wawili yy amepigwa chini.
Pia ikumbukwe yeye matata kupitia television ya star Tv alisha sema hichi kikao (cha jana) kisinge fanyika kama jina lake halitapitishwa alisema ataleta vijana wake kama 120 ambao niwafanyakazi wa meli zake kuja kuwafanyia fujo wajumbe wala wale waliofanya hizo vurugu siyo vijana wa kitangiri kama mleta hoja anavyotaka kutuaminisha kama mnataka nendeni star Tv mkawaombe wawape script ya hicho kipindi kirudiwe ndo mtajua huyu matata ana malengo gani, Pia sijawahi kuona chama kina chaguliwa viongozi na mahakama hili suala la Meya kutoka kwenye chama ni la chama mahakama ilikataa wakamrudishia uanachama matata na chama hakijakataa lakini kupeperusha bendera ya chama kwa kugombe kiti chochote hiyo ni hapana yeye yupo sawa na kina Hamad Rashid,david Kafulila n.k so matata ni diwani wa mahakama na pia naamini CDM hawawezi kwenda kwenye ukumbi wa halmashauri(Mahali ambapo vikao vya madiwani vinafanyika na kusema matata hatakiwi kuwemo hilo halipo ndiyo amri ya mahakama itakuja) kumbukeni CDM inawanachama wengi mwanza siyo Matata peke yake.
Aksanteni