Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Hizi ndo fikra za kizamani, jimbo moja mtu mwenye Dr tena afisa mkubwa ndani ya serikali unataka kutuambia akifanya mkutano na kuongolea namna atakavyosaidiana na wananchi kusolve hizo inshu za jimbo atakuwa amewahi sana?
This is 21st century tumechelewa unataka tuendelee kutembea wakati inshu kama za maji zilitakiwa ziwe historia, watu bado tunahangaika na vitu ambavyo vinagusa maisha kila siku lakini viongozi hawaoni namna ya kumaliza tatizo zaidi ya kujitafutia mtaji wa kura.
Kila kitu kinahitaji mipango madhubuti ili kufikia malengo.
Naamini kuwa Kafumu anajipanga, kwakuwa matatizo ni mengi lazma apange mikakati madhubuti.