Igunga na Samia: UVCCM Tabora Wazindua Mapokezi ya Rais Samia kwa Kishindo

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,897
942
IGUNGA NA SAMIA: UVCCM TABORA WAZINDUA MAPOKEZI KWA KISHINDO

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Tabora Comrade Kelvin Mpiwa ameongoza "Jogging" ya Vijana ikiwa uzinduzi wa mapokezi ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Rais anaanza Ziara ya Kikazi Mkoa wa Tabora kwa kuanzia Jimbo la Igunga ambapo ataweka Jiwe la Msingi kwenye Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na Kufanya Mkutano wa Hadhara kwenye Uwanja wa Barafu.

Jogging imeshirikisha Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe Nicholaus George Ngassa, Katibu wa Siasa na Uenezi Mkoa wa Tabora Ndg. Idd Moshi, Mwenyekiti wa Vijana Wilaya ya Igunga Comrade Kimali Busagala, Katibu wa UVCCM Mkoa wa Tabora Comrade Salama Mhampi, Mjumbe wa Baraka la UVCCM Taifa Comrade Glory Katalambula na Vijana wa Hamasa wa Wilaya ya Igunga na Wilaya za Mkoa wa Tabora.

#KAZI NA MAENDELE
#KAZI IENDELE
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.04.jpeg
    WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.04.jpeg
    90.4 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.05.jpeg
    WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.05.jpeg
    83.8 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.06.jpeg
    WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.06.jpeg
    92.7 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.07.jpeg
    WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.07.jpeg
    66.1 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.09.jpeg
    WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.09.jpeg
    117.5 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.10.jpeg
    WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.10.jpeg
    128.4 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.14.jpeg
    WhatsApp Image 2023-10-17 at 09.47.14.jpeg
    67 KB · Views: 2
IGUNGA NA SAMIA: UVCCM TABORA WAZINDUA MAPOKEZI KWA KISHINDO

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Tabora Comrade Kelvin Mpiwa ameongoza "Jogging" ya Vijana ikiwa uzinduzi wa mapokezi ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Rais anaanza Ziara ya Kikazi Mkoa wa Tabora kwa kuanzia Jimbo la Igunga ambapo ataweka Jiwe la Msingi kwenye Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na Kufanya Mkutano wa Hadhara kwenye Uwanja wa Barafu.

Jogging imeshirikisha Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe Nicholaus George Ngassa, Katibu wa Siasa na Uenezi Mkoa wa Tabora Ndg. Idd Moshi, Mwenyekiti wa Vijana Wilaya ya Igunga Comrade Kimali Busagala, Katibu wa UVCCM Mkoa wa Tabora Comrade Salama Mhampi, Mjumbe wa Baraka la UVCCM Taifa Comrade Glory Katalambula na Vijana wa Hamasa wa Wilaya ya Igunga na Wilaya za Mkoa wa Tabora.

#KAZI NA MAENDELE
#KAZI IENDELE
kidumu cha cha mpindudhi
 
Back
Top Bottom