Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
sabodo nikada wa ccm nimwanachama hai ni mfadhili wa ccm nikwa nini ameamuwa kuigeukia cdm nakuipa mgongo ccm misada anayotowa ccm inaichia mifukoni mwa watu haifiki kwa wana nchi kama umemsikia anasema nibola cdm ishinde 2015 anasema kafulaiswa na msimamo wa silahaa
huyo ana bifu na ccm kuhusu wale ndg zake wanaoishi NHC. Anatafuta umaarufu kupitia cdm.