unajua mzee ndesambulo kaficha kiasi gani nje au unaropoka hata dada huna.
hakuna sela ya chadema inayotekelezwa,kila mtu anajua sela za chadema ni majimbo udini na ukabila
hakuna sela ya chadema inayotekelezwa,kila mtu anajua sela za chadema ni majimbo udini na ukabila
chadema ;;;kujilipua na mabomu ili kuhurumiwa na wananchi
ccm ........kusingiziwa kuwa ndio imelipua mabomu
chadema ---kulisha watu sumu
ccm ----- kukemea na kuumbua wanaolisha watu sumu
chadema ---kulisha watu sumu
ccm ----- kukemea na kuumbua wanaolisha watu sumu
WAPENZI WA CHAMA[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wapenzi wengi wa chama ni wananchi wa kawaida na masikini sana wanaotaka maisha yenye nafuu kidogo[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wapenzi wake wengi ni watu walioko kwenye system wanaopambana kuzilinda nafasi zao kwa njia yeyote ile.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
ULINZI
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Chama na viongozi hulindwa na vijana dhoofu ili hali (wasiio na silaha yoyote) ila wenye za kichwani .Huifanya kazi hii kwa kushirikiana na wananchi wakawada.[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Hulindwa na vyombo rasmi ikiwemo vyombo vya usalama vya serikali vyenye nyenzo za kisasa.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]VIONGOZI WAKE
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wanapenda kuchanganika na wananchi wa kawaida hata kama ni kwenye dala dala.[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wanapenda kuishi maisha ya juu na yakutukuzwa zaidi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Niwanyenyekevu Sana kwa wananchi[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wakati Fulani huwatisha wananchi hasa wanaofikiri kinyume na wao.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]KAMPENI
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wananchi huhudhuria mikutano kwa baahati nasibu tuu baada ya kutangaziwa.[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wahudhuriaji hukusanywa na kupelekwa kwa mabasi kwenye mkutano na kisha kupatiwa posho ya kujikimu.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wananchi ndio huwachangia wagombea ili waweze kufanya kampeni.[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wagombea ndio huwapa wananchi kitu kidogo ili waweze kuwachagua.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Hueleza jinsi Serikali inayoongozwa na CCM, ilivyoshindwa kutekeleza majukumu yake.[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Huilamu CHADEMA kwa kurudisha nyuma maendeleo ya nchi (japo wao ni wapinzani tu).[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]KATIKA KUONGOZA SERIKALI
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Ni Chama cha upinzani (ambacho sera zake haziwajibiki kutekelezwa)japo kwa kiwango kikubwa ndizo zinazotekelezwa.Mf; Mchakato wa katiba mpya[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Ni Chama tawala (ambacho sera zake ndizo zinatakiwa zitekelezwe) ila wanapobanwa wanatekeleza za CHADEMA kwa kuwa hoja za CHADEMA zinakuwa nzito mno.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]BUNGENI
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wanapenda kuhoji mambo hata kama jambo linaonekana kuwa dogo.[/TD]
[TD="width: 262, bgcolor: transparent"]Wana gonga meza hata msemaji anapotaja wilaya za Tanzania (mradi tu msemaji awe CCM).[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wote Wako makini wakati wote.[/TD]
[TD="width: 262, bgcolor: transparent"]Wengine wanasinzia, wanaongea, wanachat isipokuwa wachache tu ndio wanakuwa makini wakati wote.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]UWAZI
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Ni wawazi sana na inapotokea jambo lenye utata kidogo tu wanakuja JF, au kuita vyombo vya habari kwa ajili ya ufafanuzi.[/TD]
[TD="width: 262, bgcolor: transparent"]Ni wagumu wakutolea mambo ufafanuzi hadi waone hakuna tena ujanja .Wakati Fulani hata wakialikwa kwenye midahalo hawahudhurii.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa ujumla mpaka sasa ndivyo hali ilivyo kwa jinsi mimi nilivyojaribu kufuatilia.Hiiinaweza kukusolewa kama kuna mahali kuna makosa.
unajua mzee ndesambulo kaficha kiasi gani nje au unaropoka hata dada huna.
WAPENZI WA CHAMA[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wapenzi wengi wa chama ni wananchi wa kawaida na masikini sana wanaotaka maisha yenye nafuu kidogo[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wapenzi wake wengi ni watu walioko kwenye system wanaopambana kuzilinda nafasi zao kwa njia yeyote ile.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
ULINZI
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Chama na viongozi hulindwa na vijana dhoofu ili hali (wasiio na silaha yoyote) ila wenye za kichwani .Huifanya kazi hii kwa kushirikiana na wananchi wakawada.[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Hulindwa na vyombo rasmi ikiwemo vyombo vya usalama vya serikali vyenye nyenzo za kisasa.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]VIONGOZI WAKE
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wanapenda kuchanganika na wananchi wa kawaida hata kama ni kwenye dala dala.[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wanapenda kuishi maisha ya juu na yakutukuzwa zaidi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Niwanyenyekevu Sana kwa wananchi[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wakati Fulani huwatisha wananchi hasa wanaofikiri kinyume na wao.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]KAMPENI
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wananchi huhudhuria mikutano kwa baahati nasibu tuu baada ya kutangaziwa.[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wahudhuriaji hukusanywa na kupelekwa kwa mabasi kwenye mkutano na kisha kupatiwa posho ya kujikimu.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wananchi ndio huwachangia wagombea ili waweze kufanya kampeni.[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wagombea ndio huwapa wananchi kitu kidogo ili waweze kuwachagua.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Hueleza jinsi Serikali inayoongozwa na CCM, ilivyoshindwa kutekeleza majukumu yake.[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Huilamu CHADEMA kwa kurudisha nyuma maendeleo ya nchi (japo wao ni wapinzani tu).[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]KATIKA KUONGOZA SERIKALI
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Ni Chama cha upinzani (ambacho sera zake haziwajibiki kutekelezwa)japo kwa kiwango kikubwa ndizo zinazotekelezwa.Mf; Mchakato wa katiba mpya[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Ni Chama tawala (ambacho sera zake ndizo zinatakiwa zitekelezwe) ila wanapobanwa wanatekeleza za CHADEMA kwa kuwa hoja za CHADEMA zinakuwa nzito mno.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]BUNGENI
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wanapenda kuhoji mambo hata kama jambo linaonekana kuwa dogo.[/TD]
[TD="width: 262, bgcolor: transparent"]Wana gonga meza hata msemaji anapotaja wilaya za Tanzania (mradi tu msemaji awe CCM).[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wote Wako makini wakati wote.[/TD]
[TD="width: 262, bgcolor: transparent"]Wengine wanasinzia, wanaongea, wanachat isipokuwa wachache tu ndio wanakuwa makini wakati wote.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]UWAZI
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Ni wawazi sana na inapotokea jambo lenye utata kidogo tu wanakuja JF, au kuita vyombo vya habari kwa ajili ya ufafanuzi.[/TD]
[TD="width: 262, bgcolor: transparent"]Ni wagumu wakutolea mambo ufafanuzi hadi waone hakuna tena ujanja .Wakati Fulani hata wakialikwa kwenye midahalo hawahudhurii.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa ujumla mpaka sasa ndivyo hali ilivyo kwa jinsi mimi nilivyojaribu kufuatilia.Hiiinaweza kukusolewa kama kuna mahali kuna makosa.
chadema .....kutishia vikongwe na walemavu kwa bastola
ccm ......kukemea wanaotishia vikongwe na walemavu kwa bastola
CHADEMAMkuu unaweza kuongezea nyengine pia kama zipo.Unaweza pia kutoa kwa upande wa pili yaani "MIFANANO" Maana hapa mimi nimetoa tu upande wa "Tofauti".