Dah Jembe la CCM online. Hakika wewe hazina kwa chama chetu na si wababaishaji kama akina Mchambuzi
Hizi sasa ndio insults, mkuu mbona maneno yako huwa hayaendani na umbo na umri wako? baba ako alipigwa chini, mama ako akapigwa chini, wewe mwenyewe ukapigwa chini. Dr Slaa amegombea mara ngapi akashindwa, zaidi ya hiyo mara moja mlipomuibia kura.- Unazungumzia Makamu Wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, ndio utalinganisha na Makatibu kata Slaa au Mbowe? Yaani hizi hoja zingine sijui hata kwa nini ninajibu!!
Le Mutuz!
kwa kweli ccm ni wanafiki cjapat kuona hasa pale mnapokosa cha kuongea mbele za watu, hivi uyo dr. Slaa na mbowe unasema wamegombea mara nyingi na kushinndwa, hivi unajua cdm imesimamisha wagombea urais mara ngap au unaropoka, ukipata jibu 2ambie ni kina slaa na mboye gan waliogombea mara nying na kushinndwa.- well, nimekuwa najiuliza hili swali kwa muda sasa kwamba chadema wanafikiria nini hasa kuhusu mgombea urais 2015, maana sio siri kwamba kwa sasa hawana, dr. Slaa hawezi tena kugombea na akigombea itakuwa a big insult kwa wengine huko chadema kwa sababu haiwezekani mtu kila akigombea anashindwa halafu mnampa tena huyo huyo, baada kushindwa sana na chaguzi mbali mbali ni clear kwamba hana jipya tena!! - mbowe hawezi kugombea tena maana amegombea sana na kushindwa kila wakati, so zitto ndiye mgombea peke yake ambaye bado kugombea urais, ni msomi wa kweli, ni mwanasiasa na anawafaa sana chadema, lakini kwa vile huko wenzetu wamezoea kukumbatia mediocre hawamtaki, walimtegemea sana waziri wa ccm sitta, lakini na yeye kawatolea nje sasa swali ni je watampata wapi mgombea credible? Chadema mtafakari hii kuliko kupoteza muda mwingi kushindana na hoja mfu na ccm, ukweli ni kwamba 2015 hamna mgombea credible ccm ina team ya wagombea credible, jipangeni sasa jamani!! Ni ushauri wa bure tu jamani!! le mutuz!! The king of all bongo social network media at williammalecela.blogspot.com
- Mkuu wangu Salute!! hawa wapambe wa Chadema tumewaachia kwa muda mrefu sana, tumewapa free lunch for too long, sasa kazi ni wakati wa kuwapa the run for their money! Sio wote humu Forums ni wapambe wa Chadema, wengine bado our brain zinafanya kazi sio kufuata tu bendera, ujumbe ni kwamba wajipange upya maana sasa ni jino kwa jino tu!!
- KIDUMU CCM!!
Le Mutuz!!
kuna mtu kaiba password yake au ni yeye!!?- Unazungumzia Makamu Wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, ndio utalinganisha na Makatibu kata Slaa au Mbowe? Yaani hizi hoja zingine sijui hata kwa nini ninajibu!!
Le Mutuz!
Haswaa....baba mmoja mama mmoja ila wazazi tofautiHivi huyu kaka na Kibonde wa Clouds wana vinasaba sawa?
- Unazungumzia Makamu Wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, ndio utalinganisha na Makatibu kata Slaa au Mbowe? Yaani hizi hoja zingine sijui hata kwa nini ninajibu!!
Le Mutuz!
- Unazungumzia Makamu Wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, ndio utalinganisha na Makatibu kata Slaa au Mbowe? Yaani hizi hoja zingine sijui hata kwa nini ninajibu!!
Le Mutuz!