kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
Makamanda baada ya orodha ya wateule ma DC kutoka kila mmoja ameanza kejeli ooh UVCCM wametoswa wamechukuliwa waliounga juhudi. Tatizo liko wapi, kwanza ni Watanzania sio Wakenya.
Pili, mbona nyie mlimpa ukatibu mkuu Dk Slaa toka CCM, mkampa Lowassa nafasi ya ujumbe wa kamati kuu ili hali wapo waliosota na kuijenga Chadema bado haikutosha na akapeperusha bendera ya kugombea urais. Sumaye akawa mwenyekiti wa kanda, Nyalandu na wengineo.
Vipi hakuna watu waliokua na uwezo mpaka mkasubiri watu toka CCM kuja kuwaongoza.
Watu wakiachwa ooh wamekwenda kuunga juhudi lakini hawateuliwi wakiteuliwa ooh UVCCM na CCM wakongwe wameachwa.
Makamanda mkitaka kuongea malizeni kutafuna kwanza kilichopo mdomoni!
Naona maswali hakuna kazi iendelee!
Pili, mbona nyie mlimpa ukatibu mkuu Dk Slaa toka CCM, mkampa Lowassa nafasi ya ujumbe wa kamati kuu ili hali wapo waliosota na kuijenga Chadema bado haikutosha na akapeperusha bendera ya kugombea urais. Sumaye akawa mwenyekiti wa kanda, Nyalandu na wengineo.
Vipi hakuna watu waliokua na uwezo mpaka mkasubiri watu toka CCM kuja kuwaongoza.
Watu wakiachwa ooh wamekwenda kuunga juhudi lakini hawateuliwi wakiteuliwa ooh UVCCM na CCM wakongwe wameachwa.
Makamanda mkitaka kuongea malizeni kutafuna kwanza kilichopo mdomoni!
Naona maswali hakuna kazi iendelee!