mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Habari wadau
Nashangaa chadema kufuraia kua na tabia kama ya CCM ya kuto wawajibisha viongozi wao ambao ni mafisadi.
Kwa miaka mingi tukekua tukiona CCM ikifanya ujinga na wizi wa kutupwa bila kuchukuliwa hatua yoyote kwa wanao kua wamehusika mpaka alipo kuja Rais magufuli ameweza kujaribu kufukua makabur ya saiz yake yakio mshinda kayaacha. Pia japo mh Rais John pombe magufuli anafanya kazi nzuri lakini mafisad wa CCM bado wanampaka matope nilitegemea kangi lugola saiz angekua amesha tupa maelezo ya hela zetu alizo tupiga Ila mpaka sasaiv kimia hata takukuru wameamua wapotezee.
CCM ndio doa pekee linalo mchafua Rais magufuli sababu ccm Ina watu ambao bado wanaendelea kuitafuna hii nch na hawaguswi na mtu sababu tu ni CCM ili hua linaniuz Sana. Na kila siku nilikua nataman CCM itoke madarakan Ila magufuli kaja juibeba so hatakiw juibeba CCM na majiz yake anatakiwa kila Alie piga apigije sijui ataweza Lin kuwahoj kina kikwete na wengine wengi.
Chadema nao wamesha zeeka kumbuka malaika akizeeka wnakua shetan kwa MISEMO ya wahenga nayeye siku izi viongozi wake wanaongoza kwa kula hela za wananch uku wanachama wao wakifanya ujinga ule ule walio fanya vijana wa CCM kua wazee wa ndio mzee tu na imekua kawaida chadema ukiwasemea viongoz wao wanajibu mbona CCM wanaiba hamsem kwa majibu haya unabaki unashangaa kua Hawa watu wameamua wawe Kama ccm na vip wakishakua Kama CCM itaswihi wao kupewa nchi Mana wote watakua tayar wala nyama na sisi tunataka kiongozi mla nyasi so itabidi tumuangalie Nan atae tufaa hao mafahar wawili itabidi wakae pembeni.
Chadema mnatakiwa kwa maslahi ya chama chenu nyie makamanda muunde kamat ya kumchunguza mwenyekit wenu na aeleze hela kapeleka wapi Kama hatokua na ushahid bila ivyo mnakitengeneza chama kua Kama CCM hata viongoz watakao kuja wata shindwa kufanya maamuzi Kama wanavyo shindwa viongizi wa CCM.
Pia napenda nikwambie Rais magufuli hao mafisad walio kula hela zetu huto weza kuwasafisha kwa juhud zako za Kaz na uadilifu wanatakiwa warudishe Mali za watanzania ukiweza kuwa wajibisha mh Rais John pombe magufuli Basi utakua umeweza kuitengeneza CCM mpya.
Pia hata Kama wamesha toka ndan ya CCM Sio viongozi Tena Ila hela za wananch wanatakiwa wazirudishe.
Pia hata mbowe Kama kwel umekula Ela za wananch please rudisha sababu huto samehewa milele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa chadema kufuraia kua na tabia kama ya CCM ya kuto wawajibisha viongozi wao ambao ni mafisadi.
Kwa miaka mingi tukekua tukiona CCM ikifanya ujinga na wizi wa kutupwa bila kuchukuliwa hatua yoyote kwa wanao kua wamehusika mpaka alipo kuja Rais magufuli ameweza kujaribu kufukua makabur ya saiz yake yakio mshinda kayaacha. Pia japo mh Rais John pombe magufuli anafanya kazi nzuri lakini mafisad wa CCM bado wanampaka matope nilitegemea kangi lugola saiz angekua amesha tupa maelezo ya hela zetu alizo tupiga Ila mpaka sasaiv kimia hata takukuru wameamua wapotezee.
CCM ndio doa pekee linalo mchafua Rais magufuli sababu ccm Ina watu ambao bado wanaendelea kuitafuna hii nch na hawaguswi na mtu sababu tu ni CCM ili hua linaniuz Sana. Na kila siku nilikua nataman CCM itoke madarakan Ila magufuli kaja juibeba so hatakiw juibeba CCM na majiz yake anatakiwa kila Alie piga apigije sijui ataweza Lin kuwahoj kina kikwete na wengine wengi.
Chadema nao wamesha zeeka kumbuka malaika akizeeka wnakua shetan kwa MISEMO ya wahenga nayeye siku izi viongozi wake wanaongoza kwa kula hela za wananch uku wanachama wao wakifanya ujinga ule ule walio fanya vijana wa CCM kua wazee wa ndio mzee tu na imekua kawaida chadema ukiwasemea viongoz wao wanajibu mbona CCM wanaiba hamsem kwa majibu haya unabaki unashangaa kua Hawa watu wameamua wawe Kama ccm na vip wakishakua Kama CCM itaswihi wao kupewa nchi Mana wote watakua tayar wala nyama na sisi tunataka kiongozi mla nyasi so itabidi tumuangalie Nan atae tufaa hao mafahar wawili itabidi wakae pembeni.
Chadema mnatakiwa kwa maslahi ya chama chenu nyie makamanda muunde kamat ya kumchunguza mwenyekit wenu na aeleze hela kapeleka wapi Kama hatokua na ushahid bila ivyo mnakitengeneza chama kua Kama CCM hata viongoz watakao kuja wata shindwa kufanya maamuzi Kama wanavyo shindwa viongizi wa CCM.
Pia napenda nikwambie Rais magufuli hao mafisad walio kula hela zetu huto weza kuwasafisha kwa juhud zako za Kaz na uadilifu wanatakiwa warudishe Mali za watanzania ukiweza kuwa wajibisha mh Rais John pombe magufuli Basi utakua umeweza kuitengeneza CCM mpya.
Pia hata Kama wamesha toka ndan ya CCM Sio viongozi Tena Ila hela za wananch wanatakiwa wazirudishe.
Pia hata mbowe Kama kwel umekula Ela za wananch please rudisha sababu huto samehewa milele.
Sent using Jamii Forums mobile app