engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
safiiii sana,kweli maoni ya wanaJf yanazingatiwa kwani nakumbuka niliwahi kuto maoni kwa CDM juu ya hili na nimefurahi kusikia limeanza
mungu ibariki Tanzania
mungu ibariki Tanzania
<br />Chadema tv ya nn? Wakati already jamii forum ni yenu and inawafikia wananchi wengi tu tz
inakuwa hewani saa zipi, nimeicheki now ipo off air
kwa hilo jina sijui kama watapata masafa labda wajiite tanzania daima tv.
<br />Sas hiyo TV itakuwa inaonesha nini? Birthday ya Mbowe na Slaa anapokula chakula? Au harakati za Sugu na nyimbo za matusi wakati Mbeya inateketea kwa umaskini? Au kelele za Tundu Lissu bungeni? Itaonesha nini hasa?
Sas hiyo TV itakuwa inaonesha nini? Birthday ya Mbowe na Slaa anapokula chakula? Au harakati za Sugu na nyimbo za matusi wakati Mbeya inateketea kwa umaskini? Au kelele za Tundu Lissu bungeni? Itaonesha nini hasa?
khe great thinker huyo! jamii forums nayo ni TV? mungu wangu!
Wananchi wengi ni wangapi??? Kama mpaka leo hujajua kazi ya TV na tofauti kati ya TV na JF basi kaaaaz kweli kweli. Magamba bado mnapambana kwa kwa kutumia silaha za jadi. fwaten nyayo acheni kubeza mafanikio ya cdm. Kwa mikakati hii ya CDM wallah, 2015 magamba nchi hii mtatukabidhi tu.Chadema tv ya nn? Wakati already jamii forum ni yenu and inawafikia wananchi wengi tu tz
Kwani TV nyingine huwa zinaoneshaga nini??? Hii TV haijaanzishwa kwa kukurupuka kama unavyodhani. we subiri na jiandae kutumia muda wako mwingi tu katika kujuzwa mambo muhimu ya nchi yako.Sas hiyo TV itakuwa inaonesha nini? Birthday ya Mbowe na Slaa anapokula chakula? Au harakati za Sugu na nyimbo za matusi wakati Mbeya inateketea kwa umaskini? Au kelele za Tundu Lissu bungeni? Itaonesha nini hasa?
Chadema tv ya nn? Wakati already jamii forum ni yenu and inawafikia wananchi wengi tu tz
let me think out of the box and loudly...
Hii walioanzisha ni television au ni channel kama za u-tube ambazo ni lazma uwe na access to internet ili uweze kuona chadema channel....
swali lingine.. ni watanzania wangapi wanaotumia internet kama sie kidogo tuliopita shule na kuajiriwa kwenye maofisi yanayolipia huduma za net kwa ajili ya kazi zao na sie kwa ufisadi wetu tunafungua mambo mengine ya ajabuajabu... Je hiyo tv hapo igunga wanaiona ili mkuu kashindye apate kura za kutosha???
Hitimisho...chadema mmeanza vizuri ila mmeenda njia isiyotakiwa..anzisheni tv kama za kina mengi na wengineo..sio net-tv kama hii...
Pipoooozzzz...pawaaaaaaa