Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,170
- 4,582
Sikilizeni makamanda wenzangu, amesema anafuatilia tunavyomnanga sasa tutakoma huko Tarime.
Ila alitushughulikia sanaHuyu mshamba chapombe tangu aingie kwa bao la mkono anafikiri game ndio itakuwa hivyo hivyo siku zote,hawa wezi wa kura ndio wanatuharibia nchi
Long time? When.Hii hotuba ni ya long time sana
Ukisikia kudata na cdm ndiyo huku.Sikilizeni makamanda wenzangu, amesema anafuatilia tunavyomnanga sasa tutakoma huko Tarime.View attachment 2082925
Hataki kukubali ukweli kuwa katupiwa virago kwa tamaa za kijinga.Mpuuzi tu huyu. Kubali yaishe kwamba umepigwa na kitu kizito kichwani. Kanywe dawa.
Acha kuitisha taasisi kubwa , hiyo watu WA mara wanajielewa na wanauthubutu wa maamuzi yenye manufaa Kwa taifa, na sii yale mambo ya covidal19 na wasaliti mfuatano🏃.Hivyo najua hawata waangusha wapigania katiba mpya, wapigania uhuru na haki, 🤔Sikilizeni makamanda wenzangu, amesema anafuatilia tunavyomnanga sasa tutakoma huko Tarime.View attachment 2082925
Ila aliwagongesha mpaka nyuma pakabaki wazi ni ushuzi tu.
Kubalini yaishe mlishaliwa mkabakiziwa manyoya
Na kasema kama bado mnamtafuta atachoma na hayo manyoya kufuta ushahidi kama mliwahi kuwapo hapo tarime.
Sikilizeni makamanda wenzangu, amesema anafuatilia tunavyomnanga sasa tutakoma huko Tarime.View attachment 2082925
Mlevi kapaniki maana anajua amebebwa tu hadi kufika hapo alipo🤣Sikilizeni makamanda wenzangu, amesema anafuatilia tunavyomnanga sasa tutakoma huko Tarime.View attachment 2082925
Mmemchokoza tena sasa anatushughulikia mara ya pili. Wapuuzi sana nyie msiotumia akili, kwani yeye kutoswa kunawahusu ? Pumbavu mkubwa shwain.Hataki kukubali ukweli kuwa katupiwa virago kwa tamaa za kijinga.
Kweli wanajitambua na ndio maana Mbowe ilibidi aokolewe na Polisi kutoka msibani kwa Chacha wangwe.Acha kuitisha taasisi kubwa , hiyo watu WA mara wanajielewa na wanauthubutu wa maamuzi yenye manufaa Kwa taifa, na sii yale mambo ya covidal19 na wasaliti mfuatano.Hivyo najua hawata waangusha wapigania katiba mpya, wapigania uhuru na haki,
..