Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Huyu nae si ndo wale wa Mtera ukoo mmoja na kibajaj? Watu wa Mtera bhana teh teh teh... natania tu jaman.
Pongezi kwa Kazi nzuri ya Arumeru, Kirumba, Lizaboni na Kiwira. William Malecela anajitaji kura za CDM awaze kuwa Mbunge wa EA. William ni mwanaCCM Aliye huko kimakosa anaweza simamia taifa kulikouCCM, ni msikivu na pamoja na mapungufu yote alonayo Mimi naona ni bora kuliko hao Tisa wengine nidhamu ya CCM. Sintoshangaa William siku moja akija CDM Chama makini aungane na wengine kuleta mabadiliko ya kweli. Ninaamini hata hoja za CDM baharia atazisimamia
Best wishes Malecela JNR
Rt Rev Masa
Mkuu Rev Masanilo una uhakika na huyu kijana, mbona yuko kwenye kambi hasi????? Utawezaje kumbatiza kwa moto wa CDM, uweze kumbadili???? Huyu jamaa na Nape kuna tofauti, akipata TCD atakumbuka kweli aliko toka?????Pongezi kwa Kazi nzuri ya Arumeru, Kirumba, Lizaboni na Kiwira. William Malecela anajitaji kura za CDM awaze kuwa Mbunge wa EA. William ni mwanaCCM Aliye huko kimakosa anaweza simamia taifa kulikouCCM, ni msikivu na pamoja na mapungufu yote alonayo Mimi naona ni bora kuliko hao Tisa wengine nidhamu ya CCM. Sintoshangaa William siku moja akija CDM Chama makini aungane na wengine kuleta mabadiliko ya kweli. Ninaamini hata hoja za CDM baharia atazisimamia
Best wishes Malecela JNR
Rt Rev Masa
PKP
U have a point! Wakichaguana wao kwa wao ndo hapo wataweka asiyefaa! Kumbuka huyu anawakilisha nchi kwenye bunge la EA
Anaweza kuiwakilisha ccm halafu at the same time "asifungamane na upande wowote"? kichama?Sidhani kama anahitaji kura za CHADEMA kuwa Mbunge wa EA. Anachohitaji ni kutofungamana na kundi lolote (i.e. CCM Asili, CCM Mafisadi, CCM Wanaharakati) ndani ya chama ili aweze kupata uungwaji wa mkono toka makundi yote.
asijepata kichaa alichopata kibajaji akaanza kutukana ikawa aibu kwa CDM bure lol!!!!!! kudadadeki
Jmushi1,Anaweza kuiwakilisha ccm halafu at the same time "asifungamane na upande wowote"? kichama?
Pongezi kwa Kazi nzuri ya Arumeru, Kirumba, Lizaboni na Kiwira. William Malecela anajitaji kura za CDM awaze kuwa Mbunge wa EA. William ni mwanaCCM Aliye huko kimakosa anaweza simamia taifa kulikouCCM, ni msikivu na pamoja na mapungufu yote alonayo Mimi naona ni bora kuliko hao Tisa wengine nidhamu ya CCM. Sintoshangaa William siku moja akija CDM Chama makini aungane na wengine kuleta mabadiliko ya kweli. Ninaamini hata hoja za CDM baharia atazisimamia
Best wishes Malecela JNR
Rt Rev Masa