Mkuu jela sio mahali pazuri kukaa hata nusu saa.Igweeeeeeee...
Yani kama vipi angekuwa anachomolewa mmoja tu kila siku then anapokelewa kishujaa hadi waje waishe wote 8 kuna watu watakunywa sumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa mkuu ndio maana nilitumia neno 'kama', otherwise we want them out as soon as possible ndio maana tunachangia kwa sana ili watoke.Mkuu jela sio mahali pazuri kukaa hata nusu saa.
Kama inawezekana kutolewa wote haraka watolewe tu mara moja.
Wewe upo huru huku mtaani unaandika hapa JF huko jela wenzio kukutwa na simu au computer ni kosa.
Wanakula chakula duni, wanalazimika kulala jua halizama kama kuku.
Wanakaguliwa hadi sehemu zisizotajika wasifiche vitu.
Kuna magonjwa ya kuambukiza, ukizingatia msongamano na mazingira duni Coronavirus akiingia huko itakuwa balaa.
Wazo zuri,halafu mwenyekiti atoke wa mwisho ambapo itafanyika bonge la mkutano baada ya kutoka kwakeIgweeeeeeee...
Yani kama vipi angekuwa anachomolewa mmoja tu kila siku then anapokelewa kishujaa hadi waje waishe wote 8 kuna watu watakunywa sumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashinji ni bidhaa siyo binadamu!!Mashinjije
Mapato gani, unajua imecost sh ngap kuendesha iyo kesi?Hahaha Magufuli yeye anafurahia MAPATO, mahakama ingekuwa chini ya wizara ya fedha, imekuwa na mchango mkubwa sana kwa uchumi wa serikali.
Hahahah..Vipiikwamamawadogooo mshaanzatoaanaView attachment 1384302
Too late.Mwenyekiti atoke karibia na Oktoba 2020 ili kuongeza wingi wa kura. Si unajua tena mambo ya Nelson Mandela.
yeah...
Kwani walikuwa wametoka kwenye payroll ya serikali?! Mahakama siyo private company.
Mmmh, haiwezekani! Yaani milioni 234 mmelipia watatu tu ambayo ni sawa na shilingi milioni 100 tu! Hapa kuna mawili, aidha hamjafikisha hizo milioni 234 mnatia mbwembwe tu au mmeishazifisidi zaidi ya milioni 134!"Tunawashukuru sana Watanzania kwa michango yao wanaoendelea kuchangia, kitendo cha kuchangia kufikisha Mil. 234 ndani ya saa 24 ni jambo kubwa sana. Bado tunahitaji michango zaidi iendelee ili kuweza kuwatoa viongozi wetu wote," Kaimu Katibu Mkuu wa @ChademaTz Kigaila Benson.
"Kutokana na michango ya Watanzania, hadi sasa tumefanikiwa kukusanya kiasi cha fedha kuweza kuwalipia viongozi wetu watatu, tumemlipia Mhe. @halimamdee, Mhe. @esteramosbulaya na Mhe.@Matiko_Esther_, tayari tumeshalipa pesa hizo," Kaimu Mkiti wa @ChademaTz, Said Issa Mohammed.
View attachment 1384316View attachment 1384318
View attachment 1384339View attachment 1384339
DawayaoooooooIgweeeeeeee...
Yani kama vipi angekuwa anachomolewa mmoja tu kila siku then anapokelewa kishujaa hadi waje waishe wote 8 kuna watu watakunywa sumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaingilia majukumu ya TARURA.Dawayaooooooo
Kesiijayooooo kilamtu mia miaa Basil
Tunatangaz tendaaa ya barabaraa KMR ..BONYOKWA road kiwangoo cha lamii
Usiwe Na Mtazamo Hasi Jela ni kama chuo, ukitoka hapo unaimarikaMkuu jela sio mahali pazuri kukaa hata nusu saa.
Kama inawezekana kutolewa wote haraka watolewe tu mara moja.
Wewe upo huru huku mtaani unaandika hapa JF huko jela wenzio kukutwa na simu au computer ni kosa.
Wanakula chakula duni, wanalazimika kulala kabla jua halijazama kama kuku.
Wanakaguliwa hadi sehemu zisizotajika wasifiche vitu.
Kuna magonjwa ya kuambukiza, ukizingatia msongamano na mazingira duni Coronavirus akiingia huko itakuwa balaa.