Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,307
- 17,773
Si mapaka utoke salama?Usiwe Na Mtazamo Hasi Jela ni kama chuo, ukitoka hapo unaimarika
Je ukipatwa na magonjwa ukafia huko huko.
Si mapaka utoke salama?Usiwe Na Mtazamo Hasi Jela ni kama chuo, ukitoka hapo unaimarika
Peleka kwa Polepole na vyombo vyenu vya dola.Mmmh, haiwezekani! Yaani milioni 234 mmelipia watatu tu ambayo ni sawa na shilingi milioni 100 tu! Hapa kuna mawili, aidha hamjafikisha hizo milioni 234 mnatia mbwembwe tu au mmeishazifisidi zaidi ya milioni 134!
Mkuu jela sio mahali pazuri kukaa hata nusu saa.
Kama inawezekana kutolewa wote haraka watolewe tu mara moja.
Wewe upo huru huku mtaani unaandika hapa JF huko jela wenzio kukutwa na simu au computer ni kosa.
Wanakula chakula duni, wanalazimika kulala kabla jua halijazama kama kuku.
Wanakaguliwa hadi sehemu zisizotajika wasifiche vitu.
Kuna magonjwa ya kuambukiza, ukizingatia msongamano na mazingira duni Coronavirus akiingia huko itakuwa balaa.
Too sad!"Tunawashukuru sana Watanzania kwa michango yao wanaoendelea kuchangia, kitendo cha kuchangia kufikisha Mil. 234 ndani ya saa 24 ni jambo kubwa sana. Bado tunahitaji michango zaidi iendelee ili kuweza kuwatoa viongozi wetu wote," Kaimu Katibu Mkuu wa @ChademaTz Kigaila Benson.
"Kutokana na michango ya Watanzania, hadi sasa tumefanikiwa kukusanya kiasi cha fedha kuweza kuwalipia viongozi wetu watatu, tumemlipia Mhe. @halimamdee, Mhe. @esteramosbulaya na Mhe.@Matiko_Esther_, tayari tumeshalipa pesa hizo," Kaimu Mkiti wa @ChademaTz, Said Issa Mohammed.
View attachment 1384316View attachment 1384318
View attachment 1384339View attachment 1384339
Wananchi wameona na wameelewaVipiikwamamawadogooo mshaanzatoaanaView attachment 1384302
Ladies are out first. The men to follow.Vipiikwamamawadogooo mshaanzatoaanaView attachment 1384302
Waliiweka yenye CHADEMA HQCHADEMA toeni namba za simu nyingine ili tuweze kuchangia viongozi wetu kuwa huru mana namba zilizopo zimefikia ukomo wa kutumiwa miamala
Mmmh, haiwezekani! Yaani milioni 234 mmelipia watatu tu ambayo ni sawa na shilingi milioni 100 tu! Hapa kuna mawili, aidha hamjafikisha hizo milioni 234 mnatia mbwembwe tu au mmeishazifisidi zaidi ya milioni 134!
Tulia dawa ikuingie vizuri.Mmmh, haiwezekani! Yaani milioni 234 mmelipia watatu tu ambayo ni sawa na shilingi milioni 100 tu! Hapa kuna mawili, aidha hamjafikisha hizo milioni 234 mnatia mbwembwe tu au mmeishazifisidi zaidi ya milioni 134!
Pesa ya kuchanga mnayo kwasababu ya Sera nzuri za kiuchumi za Serikali ya CCM!Nenda kashtaki polisi na CCM maana tuliochanga ni sisi wewe inakuuma nini?