CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

1. Uza mashangingi yote2. Taifisha mali zao walizochukua kwa wizi3. Weka serikali ya majimbo, kila jimbo litambue vitega uchumi vyake na kuvisimamia ipasavyo.4. Kuifungia ccm milele.5. Kutoa shughuli zote za kiserikali jijini dar es salaam na kuzihamishia dodoma.6. Kufufua miradi mingi iliyokufa chini ya ccm kama reli, bandari za mtwara na tanga, ndege na mashirika ya umma.7.................


thanks kwa nyongeza mkuu
receive my appriciations
 
Hivi hawa ndiyo viongozi wa Chadema ambayo wanatumwa mitandaoni kukitangaza Chadema. Wahuni kama hawa kweli ndiyo wanatoa matamko ya Chadema.
 
Huyu jamaa anaropoka tu kaishapiga viroba vyake vya ZED na Tyson.

sawa
si ndivo akili na upeo wako umeishia hapo??
chiz ni chiz tuh,hasumbui akili zetu sisi
 
Nakubaliana na wewe lakini kumbuka Chadema chimbuko lake ni kaskazini.
Kila kitu kina chimbuko na mara nyingi huwa ni sehemu moja. Chimbuko la CCM ni TANU. Chimbuko la TANU ni TAA. na TAA chimbuko lake lilikuwa Dar (sina uhakika sana). Kwa hiyo Chimbuko la CCM ni Dar yaani mamwinyi
 
Furaha iliyojee
kuanguka kwa CCM 2015 na CHADEMA kuingia ikulu,,
naomba sana mungu uhai ili nami niwe miongoni wa watakaoshuhudia anguko
hilo la mkoloni mweusi na fisadi CCM,,

without a further do,,tujiulize tutapochukua na kuikomboa nchi hii hapo
2015,

tuifanye nini CCM na jopo lake la wahujum uchumi wa nchi hii???

1.tuwafunge?

2.tukifungie chama hiko moja kwa moja kushiriki siasa?

3,tuwapeleke the hague?

4.tuwafilisi mali zao?
5.tuwaweke vizuizini maisha yao yote kwa kuwajengea jela ya mateso ili
kuwaadabisha kwa dhulma kubwa waliyowafanyia watanzania takriban miongo
mitano sasa??

Au tuwafanye nini hawa mafisadi,kwa maana tulipochukua nchi hii kwa
mkoloni mweupetulimfukuza hapa nchini,huyu mkoloni mweusi tumpe adhabu
gani??

Lol, all of the above
 
Hivi hawa ndiyo viongozi wa Chadema ambayo wanatumiwa mitandaoni kukitangaza chama. Wahuni kama hawa kweli ndiyo wanatoa matamko ya Chadema.

ni bora kuwa na wahuni tunaojitambua kama sisi kutumiwa na chadema,

kuliko kuwa na wendawazim njaa kali kama nyinyi na msiojitambua
wahuni siku zote wanajitambua,wachumia tumbo na mataahira kama wewe tukichukuua nchi hii tutawarudisha milembe mlikokimbia matibabu
 
Kila kitu kina chimbuko na mara nyingi huwa ni sehemu moja. Chimbuko la CCM ni TANU. Chimbuko la TANU ni TAA. na TAA chimbuko lake lilikuwa Dar (sina uhakika sana). Kwa hiyo Chimbuko la CCM ni Dar yaani mamwinyi

Ni kweli unachosema hakuna ubaya mie nikisema nguvu ya Chadema ipo Kaskazini.
 
ni bora kuwa na wahuni tunaojitambua kama sisi kutumiwa na chadema,

kuliko kuwa na wendawazim njaa kali kama nyinyi na msiojitambua
wahuni siku zote wanajitambua,wachumia tumbo na mataahira kama wewe tukichukuua nchi hii tutawarudisha milembe mlikokimbia matibabu

Ni kweli kabisa bora nyie wahuni ambao mnapora wake za watu halafu amtaki kuoa.
 
Ni kweli unachosema hakuna ubaya mie nikisema nguvu ya Chadema ipo Kaskazini.

haijalishi wapi chadema ilianzia,
hoja mama ni kuikomboa nchi hii 2015
naona mnalia na kusaga meno
 
Furaha iliyojee kuanguka kwa CCM 2015 na CHADEMA kuingia ikulu,,
naomba sana mungu uhai ili nami niwe miongoni wa watakaoshuhudia anguko hilo la mkoloni mweusi na fisadi CCM,,

without a further do,,tujiulize tutapochukua na kuikomboa nchi hii hapo 2015,

tuifanye nini CCM na jopo lake la wahujum uchumi wa nchi hii???

1.tuwafunge?

2.tukifungie chama hiko moja kwa moja kushiriki siasa?

3,tuwapeleke the hague?

4.tuwafilisi mali zao?
5.tuwaweke vizuizini maisha yao yote kwa kuwajengea jela ya mateso ili kuwaadabisha kwa dhulma kubwa waliyowafanyia watanzania takriban miongo mitano sasa??

Au tuwafanye nini hawa mafisadi,kwa maana tulipochukua nchi hii kwa mkoloni mweupetulimfukuza hapa nchini,huyu mkoloni mweusi tumpe adhabu gani??

Tukifute kuwa chama cha siasa na kutaifisha mali ambazo zilitokana na jasho la watanzania enzi za chama kimoja.Nitashiriki kushinikiza na kushawishi mchakato kama unaondelea Nchini Zambia wa kukifuta chama Tawala cha zamani cha MMD uanze kwani hulka na mazingira ya uwepo wa CCM na MMD kuna correlation

Labda wajirekebishe ili wa-fit katika mduara wa dhana ya demokrasia
 
Ni kweli unachosema hakuna ubaya mie nikisema nguvu ya Chadema ipo Kaskazini.
ni kweli kila kitu kina chanzo. Hata TANU ilikuwa hivyo. Kwa sasa Chadema inashuka taratibu. Muda si mrefu itaenea nchi nzima kama haijaenea tayari
 
haijalishi wapi chadema ilianzia,
hoja mama ni kuikomboa nchi hii 2015
naona mnalia na kusaga meno

Tanzania ilipata uhuru mwaka wake 1961 hayo mengine kawaeleze wahuni wenzako.
 
Furaha iliyojee kuanguka kwa CCM 2015 na CHADEMA kuingia ikulu,,
naomba sana mungu uhai ili nami niwe miongoni wa watakaoshuhudia anguko hilo la mkoloni mweusi na fisadi CCM,,

without a further do,,tujiulize tutapochukua na kuikomboa nchi hii hapo 2015,

tuifanye nini CCM na jopo lake la wahujum uchumi wa nchi hii???

1.tuwafunge?

2.tukifungie chama hiko moja kwa moja kushiriki siasa?

3,tuwapeleke the hague?

4.tuwafilisi mali zao?
5.tuwaweke vizuizini maisha yao yote kwa kuwajengea jela ya mateso ili kuwaadabisha kwa dhulma kubwa waliyowafanyia watanzania takriban miongo mitano sasa??

Au tuwafanye nini hawa mafisadi,kwa maana tulipochukua nchi hii kwa mkoloni mweupetulimfukuza hapa nchini,huyu mkoloni mweusi tumpe adhabu gani??
"naomba tuwasamehe kwani hawajui walitendalo"
 
Narudia tena jifunze matumizi ya herufi kubwa na ndogo JF kuna watu makini.

madam ujumbe wangu unaupata herufi its not a big deal
nitakufunza adabu tuh,kama hukufunzwa na mama yo nitakufunza mimi leo,kisha ukawasimulie
 
Back
Top Bottom