CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

Furaha iliyojee kuanguka kwa CCM 2015 na CHADEMA kuingia ikulu,,
naomba sana mungu uhai ili nami niwe miongoni wa watakaoshuhudia anguko hilo la mkoloni mweusi na fisadi CCM,,

without a further do,,tujiulize tutapochukua na kuikomboa nchi hii hapo 2015,

tuifanye nini CCM na jopo lake la wahujum uchumi wa nchi hii???

1.tuwafunge?

2.tukifungie chama hiko moja kwa moja kushiriki siasa?

3,tuwapeleke the hague?

4.tuwafilisi mali zao?
5.tuwaweke vizuizini maisha yao yote kwa kuwajengea jela ya mateso ili kuwaadabisha kwa dhulma kubwa waliyowafanyia watanzania takriban miongo mitano sasa??

Au tuwafanye nini hawa mafisadi,kwa maana tulipochukua nchi hii kwa mkoloni mweupetulimfukuza hapa nchini,huyu mkoloni mweusi tumpe adhabu gani??

Lini mnafungua shule?
 
Furaha iliyojee kuanguka kwa CCM 2015 na CHADEMA kuingia ikulu,,
naomba sana mungu uhai ili nami niwe miongoni wa watakaoshuhudia anguko hilo la mkoloni mweusi na fisadi CCM,,

without a further do,,tujiulize tutapochukua na kuikomboa nchi hii hapo 2015,

tuifanye nini CCM na jopo lake la wahujum uchumi wa nchi hii???

1.tuwafunge?

2.tukifungie chama hiko moja kwa moja kushiriki siasa?

3,tuwapeleke the hague?

4.tuwafilisi mali zao?
5.tuwaweke vizuizini maisha yao yote kwa kuwajengea jela ya mateso ili kuwaadabisha kwa dhulma kubwa waliyowafanyia watanzania takriban miongo mitano sasa??

Au tuwafanye nini hawa mafisadi,kwa maana tulipochukua nchi hii kwa mkoloni mweupetulimfukuza hapa nchini,huyu mkoloni mweusi tumpe adhabu gani??

Ni vigumu kukubaliana na namba tano, kwa sababu chama hicho kitakufa automatically. Sioni CCM wakiepuka njia ya KANU.
 
kwanza Vasco Da Gama aozeshwe kwa padre mstaafu, yule sura ya kobe apewe udiwani bure, alafu huyu wa magari moshi apewe wizara ya ujenzi, ila yule maLOCK ahamishiwe Kenya kabisa akaendeleze ushabiki wa nyumba ya pili ilhali kwake kunaungua. Bila kumsahau Bi nadi mende ahamishiwe arabuni akao...
 
vp mnaingia na woga au jichagulien wenyewe adhabu basi
2015 ni hii hapa kwenye kona
yaani ninyi watu waajabu sana.mkiambiwa tu msifanye maandamano kwa sababu za kiusalama mnapiga makelele kweli kweli; ooh! mara polisi ni ccm! or mara jeshi ni ccm! oooh mara ccm inaua upinzani! sasa ninyi mnaanza kupiga mahesabu ya kuifuta ccm kabisa mkiingia madarakani.yaani? ndo maana huwa nahofia sana watu wenye tabia ya kulaumu wenzao kwa kila wanalolifanya kwamba watu hawa siku wakiwa wafanyaji ndo wao tutalia na kusaga meno.any way kwakuwa chadema hawatashidha uchaguzi mpaka 2060,ngoja tu waendelee kununua vi sketi vya mtoto kabla hata ya mimba kutunga maana akili kila mtu ana zake.
 
Oooh kumbe mipango yenu mikuu ni kuwafanyia CCM na siyo wananchi!!!:angry:
 
yaani ninyi watu waajabu sana.mkiambiwa tu msifanye maandamano kwa sababu za kiusalama mnapiga makelele kweli kweli; ooh! mara polisi ni ccm! or mara jeshi ni ccm! oooh mara ccm inaua upinzani! sasa ninyi mnaanza kupiga mahesabu ya kuifuta ccm kabisa mkiingia madarakani.yaani? ndo maana huwa nahofia sana watu wenye tabia ya kulaumu wenzao kwa kila wanalolifanya kwamba watu hawa siku wakiwa wafanyaji ndo wao tutalia na kusaga meno.any way kwakuwa chadema hawatashidha uchaguzi mpaka 2060,ngoja tu waendelee kununua vi sketi vya mtoto kabla hata ya mimba kutunga maana akili kila mtu ana zake.


upepo unazidi kuvuma vibaya mtaa wa lumumba
kazi ya kinana na mangula bado ni sifuri,chadema mwendo mduundo
 
ni vigumu kukubaliana na namba tano, kwa sababu chama hicho kitakufa automatically. Sioni ccm wakiepuka njia ya kanu.

na makamanda wangu wote huu ni muda sasa wa kuzidisha mapambano
mtu na mtu hadi kieleweke 2015
 
Back
Top Bottom