CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

Chadema wanadhani Watanzania wote ni Chadema...wanajidanganya sana Chadema siyo chama cha siasa ni kikundi cha watu fulani kutoka kaskazini.

unahitaji msaada wa dharula
 
1. tuwanyang'anye majengo yote yaliyojengwa kwa nguvu za umma nao wakayatwaa na kuyafanya ni mali za chama

2. kama hapo juu, kadhalika kwa viwanja vya michezo
 
Furaha iliyojee kuanguka kwa CCM 2015 na CHADEMA kuingia ikulu,,
naomba sana mungu uhai ili nami niwe miongoni wa watakaoshuhudia anguko hilo la mkoloni mweusi na fisadi CCM,,

without a further do,,tujiulize tutapochukua na kuikomboa nchi hii hapo 2015,

tuifanye nini CCM na jopo lake la wahujum uchumi wa nchi hii???

1.tuwafunge?

2.tukifungie chama hiko moja kwa moja kushiriki siasa?

3,tuwapeleke the hague?

4.tuwafilisi mali zao?
5.tuwaweke vizuizini maisha yao yote kwa kuwajengea jela ya mateso ili kuwaadabisha kwa dhulma kubwa waliyowafanyia watanzania takriban miongo mitano sasa??

Au tuwafanye nini hawa mafisadi,kwa maana tulipochukua nchi hii kwa mkoloni mweupetulimfukuza hapa nchini,huyu mkoloni mweusi tumpe adhabu gani??

CCM ipi tena wakati 2015 CCM itakufa yenyewe.
 
Wanajanvi ni wakati muafaka kwa magamba na mafisadi kujiandaa psychologically kuwa wakimbizi including Ritz, Mr. Emmy na Chama.

Dawa ya hawa mafisadi ni ndogo sana ni kutaifisha kila kitu walicho nacho, tuna waachia nyumba moja ya kuishi vijijini kwao na ghari moja la kutembelea, thereafter utasikia kwenye vyombo vya habari fisadi moja limekimbizwa hospital, baada ya uchunguzi wa madaktari wamegundua anasumbuliwa na either stroke au pressure, na baada ya wiki kama mbili hivi utasikia utasikia tena kwenye vyombo vya habari, fisadi moja lililokuwa limelazwa kwenye hospital fulani "kwishney", na wote watafuata huo utaratibu wa maisha mapya.
 
Not that easy ! ...in fact mwaka 2015 watafanya vibaya sana. Hakuna jipya.
 
Dawa yao kuwaongoza watu vizur na kuwaonyesha raslimali za nchi hii zinavyoweza kutumika vizur katika kuhudumia sekta ya elimu na afya. Pia kuwadhihirishia mafisadi kuwa keki ya Taifa hili haiko kwa ajili yao peke yao.
 
aisee itakuwa sherehe kubwa sana! Ccm bye bye tutakuzika futi kumi na mbili chini usifufuke tena!
 
Ni mapema sana kusema CHADEMA itaingia ikulu 2015 !kumbukeni sio kwamba ccm wamelala wao wanajipanga pia wanamikakati yao.
Ieleweke wazi kuwa kukitoa chama tawala madarakani si kazi rahisi kama mvoweza kufikiria au mnavoweza kupanga kirahisirahisi hivo.
Wao wanamiliki vyombo vyote vya usalama pia vyombo vyenye mamlaka ya kutangangaza ni nani alieshinda katika uchaguzi furani hivyo inahitaji kujipanga tofauti na wengi wenu mnavoweza kufikiri.

Kwa wale tulioshiriki katika uchaguzi wa 2010 tunajua jinsi ya mfumo wa kura tatu tulivoweza kuutumia na mh.mnyika kuweza kuchukua jimbo kwa kura zile! Swali la msingi la kujiuliza je chadema tunauwezo wa kulinda kura kwa mfumo wa kura tatu tatu nchi nzima???jibu kila mtu atafakari!hivyo inahitaji kujitoa mhanga sio kuongea tu!!
Kwa wale wanaomfuatilia waziri mkuu wa kenya Laira odinga ikumbukwe kuwa alihangaika saana kudhoofisha KANU ndio maana sasa hivi kwa njia ni nyepesi kwetu sisi sioni jitihata za dhati na za kutumia akili nyingi za kudhoofisha ccm!hivyo chadema kuona ikulu 2015 ni kazi sanaa tusidanganyane hapa!
Nmezunguka vijijini bado chadema sio maarufu kabsa kama ni maarufu basi ni kwa wale watu ambao hawana hada vitamblisho vya kupigia kura sasa chadema itaingiaje ikulu???

Elimu inahitajika saana kwa jamii pia watu walio pikwa wahahitajika saana kupelekwa sehemu mbalimbali za nchi ili angalau idadi ya wabunge iongezeke!!
Ccm inashikiria idara zote vyeti za fedha!kumbuka kushinda na mtu mwenye hela ni kazi saana kumshinda ndo maana mtu mwenye hela anasikilizwa zaidi kuliko maskini angalia nchi zenye uchumi mkubwa duniani zinavosikilizwa na walivo na maamuzi!

Tunahitaji kujipanga saana tofauti na uhalisia wa kuwa na mashabiki wengi kwenye mikutano
 
Ni mapema sana kusema CHADEMA itaingia ikulu 2015 !kumbukeni sio kwamba ccm wamelala wao wanajipanga pia wanamikakati yao.
Ieleweke wazi kuwa kukitoa chama tawala madarakani si kazi rahisi kama mvoweza kufikiria au mnavoweza kupanga kirahisirahisi hivo.
Wao wanamiliki vyombo vyote vya usalama pia vyombo vyenye mamlaka ya kutangangaza ni nani alieshinda katika uchaguzi furani hivyo inahitaji kujipanga tofauti na wengi wenu mnavoweza kufikiri.

Kwa wale tulioshiriki katika uchaguzi wa 2010 tunajua jinsi ya mfumo wa kura tatu tulivoweza kuutumia na mh.mnyika kuweza kuchukua jimbo kwa kura zile! Swali la msingi la kujiuliza je chadema tunauwezo wa kulinda kura kwa mfumo wa kura tatu tatu nchi nzima???jibu kila mtu atafakari!hivyo inahitaji kujitoa mhanga sio kuongea tu!!
Kwa wale wanaomfuatilia waziri mkuu wa kenya Laira odinga ikumbukwe kuwa alihangaika saana kudhoofisha KANU ndio maana sasa hivi kwa njia ni nyepesi kwetu sisi sioni jitihata za dhati na za kutumia akili nyingi za kudhoofisha ccm!hivyo chadema kuona ikulu 2015 ni kazi sanaa tusidanganyane hapa!
Nmezunguka vijijini bado chadema sio maarufu kabsa kama ni maarufu basi ni kwa wale watu ambao hawana hada vitamblisho vya kupigia kura sasa chadema itaingiaje ikulu???

Elimu inahitajika saana kwa jamii pia watu walio pikwa wahahitajika saana kupelekwa sehemu mbalimbali za nchi ili angalau idadi ya wabunge iongezeke!!
Ccm inashikiria idara zote vyeti za fedha!kumbuka kushinda na mtu mwenye hela ni kazi saana kumshinda ndo maana mtu mwenye hela anasikilizwa zaidi kuliko maskini angalia nchi zenye uchumi mkubwa duniani zinavosikilizwa na walivo na maamuzi!

Tunahitaji kujipanga saana tofauti na uhalisia wa kuwa na mashabiki wengi kwenye mikutano
Pamoja saaana
 
shee!mnasubir mpaka 2015,tandika vboko kuanzia sasa.hawa sio wakolon ni fukus kwa mahndi
 
Ritz - kweli ni kundi la watu wachache wa kaskazini,angalia KILIMANJARO,MANYARA NA ARUSHA , WABUNGE WENGI NI WA CCM.
 
Back
Top Bottom