CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

Mhh......, mie najua chadema inawaza itawafanyia nini wananchi kilicho bora kama itashika nchi na si kuifanyaje ccm.
 
kabla ya kuchukua hatua yeyote baada ya siku kumi nitaomba CDM waanzishe mchakato wa katiba mpya maana hii inayotafutwa sasa imeshafeli ili kiwekwe kifungu cha mpito ndani ili aliyefisadi mali ya nchi afilisiwe yeye na yeyote walifaidika.
 
tukifute kuwa chama cha siasa na kutaifisha mali ambazo zilitokana na jasho la watanzania enzi za chama kimoja.nitashiriki kushinikiza na kushawishi mchakato kama unaondelea nchini zambia wa kukifuta chama tawala cha zamani cha mmd uanze kwani hulka na mazingira ya uwepo wa ccm na mmd kuna correlation


naaam kiongozi,
hilo litakuwa la manufaa pia,,
ni kuizika na kuisahau moja kwa moja
 
Kwa hiyo mkichukuwa dola itakuwa ni amri tu kuchukuwa wake za watu kama mnavyofanya hivi sasa.
Mkuu Ritz,hilo si la kuuliza kwani wameshaanza wakichukua nchi itakuwa ni muendelezo tu.
 
madam ujumbe wangu unaupata herufi its not a big deal
nitakufunza adabu tuh,kama hukufunzwa na mama yo nitakufunza mimi leo,kisha ukawasimulie

ha ha haa...

Nakunywa kahawa huku nacheka kauzu kama wewe mwenye akili fupi kama maisha ya funza unamtisha Ritz, wa JF. leo utakimbia mwenyewe hizi ndiyo zangu.
 
Last edited by a moderator:
Tukifute kuwa chama cha siasa na kutaifisha mali ambazo zilitokana na jasho la watanzania enzi za chama kimoja.Nitashiriki kushinikiza na kushawishi mchakato kama unaondelea Nchini Zambia wa kukifuta chama Tawala cha zamani cha MMD uanze kwani hulka na mazingira ya uwepo wa CCM na MMD kuna correlation
tena hili zoezi lilitakiwa lifanyike wakati wa kuasisi vyama vingi.
 
ha ha haa...

Nakunywa kahawa huku nacheka kauzu kama wewe mwenye akili fupi kama maisha ya funza unamtisha Ritz, wa JF. leo utakimbia mwenyewe hizi ndiyo zangu.

Mkuu Ritz matusi ya nini tena? Tupingane kwa hoja.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz,hilo si la kuuliza kwani wameshaanza wakichukua nchi itakuwa ni muendelezo tu.

Mkuu Mingoi,
Hawa jamaa wanakuambia wakichukuwa nchi marufuku vyama vya siasa nchi nzima watu wote lazima wajiunge Chadema...hizi akili kweli.
 
Last edited by a moderator:
Hii thread inanikumbusha moja ya vichekesho vya ZeComedy origino; Kulikuwa na vijana wawili na mmojawapo akamuuliza mwenzake

>>itakuwa vipi kama mimi nikiona hela njiani nikauonesha halafu wewe ukawahi kuziokota? Tutagawana vipi?

>>yule wa pili ambaye hypothetically aliziokota akamwambia sikupi kitu, mimi si ndiye niliyeziokota

>>Kijana wa mwanzo akamwambia lakini mimi ndiye niliziona kabla ya wewe.

>>Majibizano yakaendelea, mmoja akaaza kumtukana mwenzake mpaka ngumi zikaanza kati ya vijana hawa wawili.

>>Akatokea mzee mmoja akawaamulia halafu akawauliza chanzo cha ugomvi wao, kila mmoja akaanza kuelezea.

>>Mzee akacheka sana na kuwapa maneno ya busara ili waache ujinga waliokuwa nao.

Nafikiri mmenielewa ee vijana 'great thinkers'? Msije mkatowana ngeu bure. Its almost three years to go.
 
No mafisadi wote wafungwe kamba wapigwe risasi hadharan tuhitimishe kizazi cha wizi wa mali ya umma
Hata mie naiombea chadema hivyo, naona mafisadi wafilisiwe mali zao waachiwe kiasi kinachoendana na vipato vyao ambayo vinaeeleweka kupitia mishaara. mali zao zilizofilisiwa zitumike kwa uwazi na kuzifanyia maonesho yenye publicity kali ili wananchi waone thamani ya mali yao iliyoibiwa. mafisadi waachwe wajionee wenyewe na uso utawashuka na watajuta na hatimae kuwa raia wema.
 
Yan kwa upeo wako finyu unatuletea mifano ya kina joti hapa? Are u serious?? Dawa yenu wana magamba na wezi wote ni kuwapoteza kwenye uso wa dunia!!!
Hii thread inanikumbusha moja ya vichekesho vya ZeComedy origino; Kulikuwa na vijana wawili na mmojawapo akamuuliza mwenzake

>>itakuwa vipi kama mimi nikiona hela njiani nikauonesha halafu wewe ukawahi kuziokota? Tutagawana vipi?

>>yule wa pili ambaye hypothetically aliziokota akamwambia sikupi kitu, mimi si ndiye niliyeziokota

>>Kijana wa mwanzo akamwambia lakini mimi ndiye niliziona kabla ya wewe.

>>Majibizano yakaendelea, mmoja akaaza kumtukana mwenzake mpaka ngumi zikaanza kati ya vijana hawa wawili.

>>Akatokea mzee mmoja akawaamulia halafu akawauliza chanzo cha ugomvi wao, kila mmoja akaanza kuelezea.

>>Mzee akacheka sana na kuwapa maneno ya busara ili waache ujinga waliokuwa nao.

Nafikiri mmenielewa ee vijana 'great thinkers'? Msije mkatowana ngeu bure. Its almost three years to go.
 
ni bora kuwa na wahuni tunaojitambua kama sisi kutumiwa na chadema,

kuliko kuwa na wendawazim njaa kali kama nyinyi na msiojitambua
wahuni siku zote wanajitambua,wachumia tumbo na mataahira kama wewe tukichukuua nchi hii tutawarudisha milembe mlikokimbia matibabu
Cc..to Mkuu Molemo,
Mie najibu haya au uyaoni kwa sababu kayasema mwenzako.
 
Last edited by a moderator:
Kamuulize Nape.

Kumbe hata wewe hujui!? mimi nilifikiri wewe ni sawa na Nape? yaani hujui chama chako chimbuko lake ni wapi? inamaana ni chama cha wazaramo na watu wa pwani sio!!?
 
Yote uliyoyataja yafanyike ili kuwe na nidhamu katika mali ya umma.
Furaha iliyojee kuanguka kwa CCM 2015 na CHADEMA kuingia ikulu,,
naomba sana mungu uhai ili nami niwe miongoni wa watakaoshuhudia anguko hilo la mkoloni mweusi na fisadi CCM,,

without a further do,,tujiulize tutapochukua na kuikomboa nchi hii hapo 2015,

tuifanye nini CCM na jopo lake la wahujum uchumi wa nchi hii???

1.tuwafunge?

2.tukifungie chama hiko moja kwa moja kushiriki siasa?

3,tuwapeleke the hague?

4.tuwafilisi mali zao?
5.tuwaweke vizuizini maisha yao yote kwa kuwajengea jela ya mateso ili kuwaadabisha kwa dhulma kubwa waliyowafanyia watanzania takriban miongo mitano sasa??

Au tuwafanye nini hawa mafisadi,kwa maana tulipochukua nchi hii kwa mkoloni mweupetulimfukuza hapa nchini,huyu mkoloni mweusi tumpe adhabu gani??
 
Big Show inaonekana chama chako kipo kwa ajili ya CCM na si kuwatumikia wananchi,ni fikra za kipuuzi na kwa mwenye akili za kuku pekee anaeiwazia cha kuifanya CCM badala ya wananchi.Kumbuka viongozi wako wakuu nao wametoka CCM sasa sijui utatumia utaratibu gani kuwaarrest.
 
Yan kwa upeo wako finyu unatuletea mifano ya kina joti hapa? Are u serious?? Dawa yenu wana magamba na wezi wote ni kuwapoteza kwenye uso wa dunia!!!

Unafikiri akina Joti wana upeo finyu? Kwa mtazamo wangu utakuwa umekosea sana. Unafikiri katika hicho kichekesho hapo, ni kipi unachokipinga, huoni funzo lolote? Kama ni hivyo sijui ni nani sasa atakayekuwa na upeo finyu kati yako wewe na kina Joti?

Ciello, naheshimu mawazo yako na pia inanikumbusha huu msemo:

"If you can find something everyone agrees on, it's wrong."
-Mo Udall
 
Back
Top Bottom