CHADEMA si kimbilio la wasomi!

CHADEMA si kimbilio la wasomi!

Kikwete fisadi, Mkapa fisadi, Lowassa fisadi, Mwinyi fisadi, Mkullo fisadi, Wabunge wao wote mafisadi wako tayari kuchukua rushwa ili wapitishe makadirio ya bajeti za Wizara mbali mbali. Wale waliokutwa na mapesa chungu nzima kule Switzerland majina yao mpaka leo yanafichwa.

Kujidanganya nafsi kubaya sana BAK...wanaficha maradhi wanasumbiri kuumbuliwa na vifo tu...siku zinakuja.
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

Mkuu Zawadi, hivi hao unaowaita wasomi ni asilimia ngapi ya watanzania wote kwa ujumla wao?

Pili,hao unaowaita wasomi ni asilimia ngapi ya watanzania wenye sifa za kupiga kura?

Najua takwimu zinaweza kuwa za mbali kiasi naomba utupe japo makadirio itasaidia!

Nitashukuru ukijibu! sababu itatusaidia kuona kiasi cha ukombozi tutakaoutegemea kutoka kwenu wasomi wa nchi hii!
Asante sana!
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

Wewe hujui kwamba vijana wengi wasomi wapo vijiweni wamekosa kazi? Hivi unadhani vijana wote wanaomaliza vyuo vikuu wanaenda wapi? Ungefanya research kwanza kujua vijana wakimaliza vyuo vikuu wanaenda wapi kabla hujaja na conclusion kama hii. Pili kwani vijana wa vijiweni si watanzania? Acheni unafiki ninyi watu.
 
Nina digrii nilitoswa UVCCM Mtwara eti kwa sababu ni msomi!! CCM ni chama cha watu wasio na Elimu'""""""""
 
Mmmmmmm sina imani kuwa CDM wataleta shibe. Ninachoona mimi, hawa CHADEMA wataongeza njaa + vita. Mwenyewe jaza kipi ni afadhali.
Bora vita na njaa ya haki kuliko amani inayopumbaza na kudhalilisha utu wa mwanadamu! Period!
 
Dah! yaani kama wasomi wa ccm ndio wewe mmojawapo basi ccm hakuna wasomi, kwa jinsi tu ulivyoandika haya maneno yako unaonesha ni jinsi gani elimu yako haijakukomboa hata kidogo, kwanza haupo makini, pili hujui hata kuandika kwa maana unakoesa kosea , sijui hukupitia darasa la kwanza maana. Siku nyingine jipange usikurupuke kijana.
Hakuna msomi anaweza kuwa na muda na chama cha vihiyo. Mnyika ni form six alipata division three halafu wakati wa uchaguzi akadanganya eti ana division 1 ya point 3. Jamani, kuna mbunge wa mpanda wa chadema yeye ni darasa la saba. Jiulize hawa chadema nani amewahi kuwa angalau mkuu wa wilaya. Maprofessor woote ni ccm angalia wakina mwandosa, wangwe, mhongo, tibaijuka. Sasa chade ma ni
professor baregu peke yake. Lweitama ni chakubanga hana sifa za kitaaluma. Kitila mkumbo ni pandikizi amesomea education
 
Hoja finyu kama hii dawa yake ni kuitosa jumla,vinginevyo na sisi tutaonekana wapuuzi kama yeye
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

Hii kweli ni kali
1. Hao vijana wa darasa la saba/vijiweni sio watanzania?
2.Aliyewafikisha hapo ni nani kama sio chama tawala cha enzi za mkoloni??
3.Vijana wa vijiweni hawana haki ya kuwakilishwa?
4.Ushajua idadi ya vijana waliopo vijiweni compared na walio na ajira maalumu.???
5.CCM mna safari ndefu sana....mlishawahi kusema kura za wafanyakazi hamzihitaji...na sasa za vijana wa vijiweni
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

poa tu, wala sioni shida hapo iko wapi, hawajasoma ila ni waelewa. hao waliosoma wametufikisha wapi? hao madaktari wa falsafa? issue ipo hapo, na mbona hao unaosema wasomi wanang'ang'ana kutafuta vyeti vya awali hadi vya juu na kufoji n.k saa hizi? au unafikiri kuna siri? hizo safu zote tunazijua, hata viwango na uelewa wao, ikiwa kuna perfomance hamna tatizo, lakini ipo? safari hii tutawapa hao wasio na elimu ( according to you), tumechoka na sifa zisizo na tija.
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

wewe huenda hukwenda kabisa shule kwa upeo mdogo ulouonyesha hapa .utafiti wako ulofanya hauna data.hivi kuna majimbo yepi tz yenye wasomi wengi?kawe,ubungo,mwanza,arusha mjini,mbeya mjini,moshi mjini wanaongoza chama gani?pumba weye
 
Ha ha ha ha ha ha! Kwenye hizo red; Sijui kama umeshawahi kukutana na ujumbe unaofanana na huu: "sikuja kwa ajili ya wenye shibe bali wenye njaa" na hao uliowataja hapo wanaangukia katika kundi hili (la wenye njaa). Nani kaleta njaa? Ni CCM kwa sera na mipango yake mibovu - sera na mipango mibovu katika elimu, afya, n.k.

Kwa kuwa malengo na sera za Chadema ni kumkomboa mtanzania na madhila ya utawala wa CCM na kwa kuwa waathirika wakuu ni hao unaowabeza, haishangazi, kama unavyodai mwenyewe, kwamba kundi hilo ndio "waliojazana" Chadema. Na "habari njema" japo mbaya kwako na mafisadi wenzako, ni kwamba hili ndilo kundi kubwa la watanzania. Natumaini umepata message.

nilikuwa sijui kumbe hata maandiko yanasupport CHADEMA
hehehe CHADEMA haikja kwa wenyeshibe(CCM) bali kwa wenye njaa (watanzania) hii ni habari njema kweli Mungu yu mwema
 
Zawadi na HAMY D,mnalipwa kiasi gani? Je wanao leta vurugu ni kweli CHADEMA au CHAMA CHENU KITUKUFU?

Hao uliowasema wakaa vijiweni,wavuta unga au madawa ya Kulevya ambao ni failures wa form four na form six ilikuwa ndoto kufika.

Yaani kwa kifupi tumeishia darasa la saba,ndio tuliomwangusha Mbunge wa CCM Mbeya mjini,pamoja na kung'ang'ania sana na hayo uliyoyaongea ndio maneno aliyotoa Mbunge huyo kwa tiketi ya CCM.

Hata wachimba makaburi kumbuka ndio sisi tusiokwenda shule na ndio tunaoumia na kuporomoka kwa hii shilingi yetu,na nyie wachache kujilimbikia mali nje ya nchi kwa kisingizio cha wivu wa kike.

Tuachane na Chadema ndugu zangu nyinyi fikirieni mbali zaidi shilingi mbili hizi unazopewa leo zitakuwa kaburi lako kesho.Poleni sana.

Kumbukeni hata siye ambao shule hatujaenda tunaakili japo ya kutambua mema na mabaya,msitudharau,ndio tutakao wachimbia makaburi yenu siku mkiondoka dunia hii na mkiacha mali zote mlizotudhulumu siye wa vijiweni.
 
Waacheni wafu wawazike wafu wenzao hivi humu JF tu mnapata picha gani nyie CCM mbona hamsomi alama za nyakati kama tulio JF ni wa kijiweni subiri muone.
 
Back
Top Bottom