jossy chuwa
Member
- Apr 4, 2012
- 93
- 15
Nimeipenda hiyo ya "cdm siyo kimbilio la wasomi" sasa utaipenda kuliko mimi 2015! hao wasomi wa ccm kama unavyojidai ndo wametufikisha hapa na taabu zote! wala hatuwahitaji! mimi mwenyewe sikusoma na rafiki zangu kibao ni kayumba wenzangu! wote tumekunja ngumi! tunasubiri wakati muafaka wa kuirusha! bye.