CHADEMA si kimbilio la wasomi!

CHADEMA si kimbilio la wasomi!

Inahitaji elimu ya degree ngapi kupiga kura?ulihitajika kuwa na elimu ipi kufanya research kama hiyo isiyo na hata nukta ya usomi?una kazi wewe? Njoo kwangu uogeshe watoto nikulipe kuliko kujiharishia kama hivyo n'gombe tasa wee.
 
Unawazungumzia wasomi gani, hawa wanaoficha fedha nje au wanaowaachia wazungu na waasia wachukue madini yetu bila sisi kufaidika na lolote pia wanakusanya kodi t 8 matumizi yao t 11, kama hizo ndio sifa za usomi, bora wale wa darasa la nane mkoloni au hata hao wa form 4 na 6 waliofeli
 
Hilo jina lako litakuwa na athari kubwa mno huko uendako!!ukiponea kuwa shoga (kama bado)basi lazima utakuwa zezeta,na dalili zimeanza kujionyesha wazi kabisa.
 
Zawadi Ngoda Lol pole sana na mawazo yako mgando halafu wewe nakufahamu sana wewe na familia yako kwenu kwanza kumechoka sana barabara vumbi kila kona na kila leo mnamchagua Mbunge wa CCm mbunge wenu ni Ngwilizi kama sikosei nafahamu kijijini kwenu nyie na Magamba Ccm lakini hakuna cha maana mnachopata sasa kama Chadema wana elimu ndogo na wale Magamba waliosoma Havad wamefanya nini kama sio kuwa wezi ati mabilioni waliyoiba wanaita vijisenti na huyo kasoma Havad ati Lol nilipata bahati ya kutembelea Lushoto aisee kumechoka ni mbaya poleni walushoto kwa kuwapa Magamba kula.Kumbukeni uongozi hausomewi na madigree si kigezo cha kuongoza nchi wewe unaweza ukawa umesoma lakini akili ya kufikiraia huna ati unajiita Zawadi zawadi M...ku.....ndu

Hapo kwenye Red ndipo mlipo na ndipo nilipo pakusudia. Haya mimi sipo, heri wenyewe mmejionyesha dhahiri RANGI zenu.

Heri umekubali kuwa mtaongoza bila shule. ....."Kumbukeni uongozi hausomewi na madigree si kigezo cha kuongoza nchi wewe unaweza ukawa umesoma lakini akili ya kufikiraia huna"

Mtajichuja mmoja mmoja.
 
ndo mawazo ya msomi kweli? wewe ni prof kweli? mpaka udharau ma prof wengine kweli? vp we najua kama una elimu ya juu sana ni 1 degree,vp watu wakiaanza kusema degree yako ni feki! kwa kweli hata wanaokaa vijiweni unaowaita sio wasomi wakisoma post yako hii lazima washushe uwezo wa wasomi wetu.
kwa kweli umejishusha sana kwa utafiti wako
 
Ha ha ha ha ha ha! Kwenye hizo red; Sijui kama umeshawahi kukutana na ujumbe unaofanana na huu: "sikuja kwa ajili ya wenye shibe bali wenye njaa" na hao uliowataja hapo wanaangukia katika kundi hili (la wenye njaa). Nani kaleta njaa? Ni CCM kwa sera na mipango yake mibovu - sera na mipango mibovu katika elimu, afya, n.k.

Kwa kuwa malengo na sera za Chadema ni kumkomboa mtanzania na madhila ya utawala wa CCM na kwa kuwa waathirika wakuu ni hao unaowabeza, haishangazi, kama unavyodai mwenyewe, kwamba kundi hilo ndio "waliojazana" Chadema. Na "habari njema" japo mbaya kwako na mafisadi wenzako, ni kwamba hili ndilo kundi kubwa la watanzania. Natumaini umepata message.

Mmmmmmm sina imani kuwa CDM wataleta shibe. Ninachoona mimi, hawa CHADEMA wataongeza njaa + vita. Mwenyewe jaza kipi ni afadhali.
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

Nakubaliana na wewe kuwa Chadema si kimbilio la wasomi tu bali ni kimbilio la watu wote wasomi, wakulima, wasio na kazi

Inaonekana hata wewe kama umesoma elimu haijakukomboa unafuata upepo tu, Msomi gani ambaye unashabikia CCM leo, hata kama una maslahi unatakiwa kuwa mkweli acha kupiga porojo ndugu yangu. Ni vema watanzania tukaacha unafiki na kujikomba leo hii unalo la kujivunia kuwa ndani ya CCM? Tanzania inahitaji watu wanaojitmbua na kulielewa Taifa lao limetoka wapi, linakwenda wapi na liko wapi ndipo tutasonga mbele. Lakini unafiki na kujipendekeza kwa watawala hatutafika ni vema tuseme iliyokweli ndipo tutawakomboa wanyonge.

Elimu yako ikusaidie kuona mbali wasikoona wengine, uelewe palipo na dhuruma kwa ajili ya akina bibi, yatima, wajane wanaodhrumiwa haki zao za msingi. Unaweza ukasoma ukawa mwizi, mnafiki, tapeli, fisadi nk elimu yako haitakuwa na maana.
 
Kama hoja yako kuu ni hii basi endelea kukua mkuu!

Tumewachoka chadema wanaoshabikia hawakijui undani wake ila ukiwa mchunguzi utagundua kile ni chama cha ukoo wa kaskazini mwa Tanzania.
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

Kweli wewe ni zawadi ya magamba, unaona sasa vijana wa vijiweni wanavyo wafanya muweweseke? Ndo umeandika nini matapishi matupu?
 
Sawa cdm hakuna wasomi, tunaomba utwambie hao wasomi wenu wamelisaidia vipi taifa?

Je usomi unapimwa kwa kulilaza taifa na giza?

Je usomi unapimwa kwakuiba pesa na kuziweka uswisi?

je usomi unapimwa kwa kuteua ma jaji wasio na shahada?

Je usomi unapimwa kwa kuwambia wananchi wasio weza kulipia kivuko wapige mbizi?
Hakuna msomi anaweza kuwa na muda na chama cha vihiyo. Mnyika ni form six alipata division three halafu wakati wa uchaguzi akadanganya eti ana division 1 ya point 3. Jamani, kuna mbunge wa mpanda wa chadema yeye ni darasa la saba. Jiulize hawa chadema nani amewahi kuwa angalau mkuu wa wilaya. Maprofessor woote ni ccm angalia wakina mwandosa, wangwe, mhongo, tibaijuka. Sasa chade ma ni
professor baregu peke yake. Lweitama ni chakubanga hana sifa za kitaaluma. Kitila mkumbo ni pandikizi amesomea education
 
Zawadi wewe nimeapa mshabiki si msomi. msomi lazima uwe umefanya utafiti kabla hajazungumza(NO RESEARCH NO RIGHT TO TALK)! Wewe kwa upeo wako mdogo umeshindwa hata kuangalia uchaguzi mkuu wa 2010 hao Chadema walipata kura ngapi against CCM. kumbuka CCM na raslimali zoote polisi jeshi pesa nk. kumbuka pia kule Igunga Arumeru, Ilemela kwa Dialo, kwa Marmo kwa Masha aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani nk!! Kama wewe ni msomi usomi wako haukusaidii. tumia usomi wako kuwakomboa Watz walio wengi badala ya kushabikia kundi dogo la Mafisadi wanaoneemeka kwa raslimali za hao hao unaowaita wewe vijana wa kijiweni as if walipenda au wanapenda kukaa vijiweni. umesahau ni nani amesababisha wao kuwa vijiweni leo hii!! Shame on you!
 
Hujaichoka cdm umechoka kufikiri kwa kina, jaribu kujitazama upya.
Tumewachoka chadema wanaoshabikia hawakijui undani wake ila ukiwa mchunguzi utagundua kile ni chama cha ukoo wa kaskazini mwa Tanzania.
 
Kwa sababu wewe umechagua njia ya matusi basi.

Nitajaribu kujibu hoja lakini si matusi.

Mkuu kwanza kabisa nikupongeze kwa tafiti yako, maana naamini umetumia muda mwingi, rasilimali na nguvu katika kufanikisha tafiti hii, hapa napenda wachangiaji wasianze kuulizia methodology ulioitumia maana vitu vingine vipo wazi tu.

Kwanza napenda kuunga mkono hoja yako kuwa chadema sio kimbilio la wasomi bali ni kimbilio la failures. Hii nimekuwa nikiishuhudia mara kwa mara kwa kuangalia wanachama wengi wa chadema katika eneo ninaloishi, nikagundua wengi ni MATEJA, WEZI, VIJANA WA VIJIWENI. Nikaenda mbali zaidi nikagundua wengine wanaoiunga mkono chadema ni hawa wakimbizi ambao wanaishi hapa nchini kinyume na sheria. Makundi haya ya watu mara nyingi hawatambuliki katika daftari la kudumu la wapiga kura, kwa maana hawana kadi rasmi ya mpiga kura ambapo kimsingi hawawezi kutekeleza haki ya kupiga kura.

Sikuishia hapo, nikaanza kuangalia vyuo vikuu kama vile UDSM, Ardhi University, MUHAS (Muhimbili), Mzumbe na SUA n.k pia na kwenye taasisi za elimu ya juu kama vile IFM, IAA, TIA na CBE n.k nikagundua CCM ina wanachama wengi sana tena wale viongozi wa serikali za wanafunzi ni wakereketwa wa chama chetu hiki imara na madhubuti.

Hapa nikafanya hitimisho ya kwamba, sababu kubwa ya CCM kuibuka kidedea kila mwaka tangu mfumo huu wa vyama vingi kuanzishwa ni pale ilivyoamua kuweka vigezo na masharti katika upatikanaji wa wanachama wao.

Vigezo hivyo na masharti vinataka watu wazalendo na taifa lao, watu waadilifu, watu wenye kujishughulisha na wenye utayari wa kujitoa kufanya kazi za kijamii (hatutaki kabisa wavivu, wazembe na mazezeta). Ukiangalia hapo utaona wasomi na wananchi wanaojituma kama wafanyakazi na wakulima ndio wanakidhi hivyo vigezo na masharti, makundi haya yana kadi ya mpiga kura na ndio wapiga kura wengi, kimsingi kundi hili ndilo linatupa CCM ushindi wa kishindo dhidi ya wapinzani uchwara ambao tunaona wengi ni waroho wa madaraka.

Ndugu yangu mwananchi mwenzangu wa Tanzania, kaa hapo ulipo utafakari kwa nafasi uliyonayo katika jamii, je unastahili kuwa mahala gani kiitikadi? Maamuzi ni yako lakini ukumbuke yanaathiri taifa letu, fanya maamuzi sahihi kwa ustawi mzuri wa nchi yetu.
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

Ukisikia mbwa anabweka bweeeeeeeeeeeeee!Ujue jiwe limempata
 
mtoa mada una hoja dhafu sana.....
tatnzania wasomi wa vyuo vikuu ni less than 5% of the entire popoulation.. hata kama wakiingia wote chadema ukichukua ratio yao kwa wananchi wa kawaida utakuta kati ya vijana 100 ni watatu au wanne ndio wasomi wa vyuo vikuu...sasa sijui unajenga hoja gani hapa
punguza jazba na kukurupuka...THINK OUT OF THE BOX(the ccm mentality)
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

Yani safari hii mtasema yote ila ukweli utabaki palepale.
Ccm mnatabia ya kujitekenya wenyewe alafu mnakenua wenyewe.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom