makundi4619
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 486
- 141
Hakuna msomi anaweza kuwa na muda na chama cha vihiyo. Mnyika ni form six alipata division three halafu wakati wa uchaguzi akadanganya eti ana division 1 ya point 3. Jamani, kuna mbunge wa mpanda wa chadema yeye ni darasa la saba. Jiulize hawa chadema nani amewahi kuwa angalau mkuu wa wilaya. Maprofessor woote ni ccm angalia wakina mwandosa, wangwe, mhongo, tibaijuka. Sasa chade ma ni
professor baregu peke yake. Lweitama ni chakubanga hana sifa za kitaaluma. Kitila mkumbo ni pandikizi amesomea education
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.
Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.
Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.
Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.
Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.
Hakuna msomi anaweza kuwa na muda na chama cha vihiyo. Mnyika ni form six alipata division three halafu wakati wa uchaguzi akadanganya eti ana division 1 ya point 3. Jamani, kuna mbunge wa mpanda wa chadema yeye ni darasa la saba. Jiulize hawa chadema nani amewahi kuwa angalau mkuu wa wilaya. Maprofessor woote ni ccm angalia wakina mwandosa, wangwe, mhongo, tibaijuka. Sasa chade ma ni
professor baregu peke yake. Lweitama ni chakubanga hana sifa za kitaaluma. Kitila mkumbo ni pandikizi amesomea education
Hakuna msomi anaweza kuwa na muda na chama cha vihiyo. Mnyika ni form six alipata division three halafu wakati wa uchaguzi akadanganya eti ana division 1 ya point 3. Jamani, kuna mbunge wa mpanda wa chadema yeye ni darasa la saba. Jiulize hawa chadema nani amewahi kuwa angalau mkuu wa wilaya. Maprofessor woote ni ccm angalia wakina mwandosa, wangwe, mhongo, tibaijuka. Sasa chade ma ni
professor baregu peke yake. Lweitama ni chakubanga hana sifa za kitaaluma. Kitila mkumbo ni pandikizi amesomea education
Hivi VIJANA WA KIJIWENI sio watanzania? nani aliyesababisha wawe vijiweni kama sio serikali dhaifu? ningekuwa siogopi Ban ningekutukana tusi kubwa!!!!
chama cha wahuni wanaotumiwa kumwaga damu kwa ujira kidogo.
Hilo jina lako litakuwa na athari kubwa mno huko uendako!!ukiponea kuwa shoga (kama bado)basi lazima utakuwa zezeta,na dalili zimeanza kujionyesha wazi kabisa.
Nchi yetu....WATANZANIA WOTEW WAPENDA AMANI NA MAENDELEO SI WALE WAPENDA VURUGU NA VITA.
Hapo kwenye Red ndipo mlipo na ndipo nilipo pakusudia. Haya mimi sipo, heri wenyewe mmejionyesha dhahiri RANGI zenu.
Heri umekubali kuwa mtaongoza bila shule. ....."Kumbukeni uongozi hausomewi na madigree si kigezo cha kuongoza nchi wewe unaweza ukawa umesoma lakini akili ya kufikiraia huna"
Mtajichuja mmoja mmoja.
Hata wanaccmweli wenzio ninao wafahamu humu hawawezi kuwa dharau watu unao waita wavijiweni kiasi hiki.
Hivi unajua kipindi jk anaingia madarakani aliwategemea pia kwenye kura hawahawa unao waita watu wa vijiweni?
Hivi una kumbuka "hali mpya kasi mpya" hii ndio kasi mlio iongelea ya kuongeza watu unao waita wa vijiweni kwa kuwadanganya kuwa ata wapa ajira lakini zika yeyuka?
Hivi unajua hao unao waita wavijiweni ccm nao inawategemea? Lasivyo kusinge kuwa na sababu ya kusema cdm haitafikisha mwaka, sababu ni hao unao waita wavijiweni hakuna lingine.
Umesema cdm wana wanachama wengi wavijiweni wasio na pa kwenda na wasio na kazi za kufanya, kifupi kwako wewe hawana faida, je kwa nini nguvu nyingi inatumika kupambana na chama chenye wanachama wasio na faida?
Sidhani kama na wewe ni msomi uliye fanya utafiti huu ukashindwa kujua mchango wa hao unao waita wavijiweni.
Hivi VIJANA WA KIJIWENI sio watanzania? nani aliyesababisha wawe vijiweni kama sio serikali dhaifu? ningekuwa siogopi Ban ningekutukana tusi kubwa!!!!
Zawadi ndugu..., umesema CDM haikubaliki na wasomi, hapohapo unasema uongozi si lazima uwe na madegree.....? We u nani hasi, kuwa mmoja tukutambue basi ama usimamie msimamo wako wa shule ni uongozi ama uje huku uraiani uamini uongozi ni karama.... Kifupi CDM hakuna pumba tupu, daima kila kitu kinathamani kwani kinahitajika....
Zawadi Ngoda, kama...na naomba nirudie KAMA wewe ni msomi nadhani haya ungeyatilia maanani.
1.Kuelezea utafiti umefanywa na nani, wapi, lini, matokeo ya utafiti yalikuwaje?...lakini usingeishia hapo, bado ungefanya ulinganifu(comparison) na vyama vingine vya kisiasa.
2. Kutaja ni vijana wa "vijiweni"..
- Moja, Unawadharau na kutengenez matabaka hata kama hukumaanisha(kwamba vijana wa "vijiweni kamwe hawana nafasi CCM) na ninasema CCM kwa kuwa ndio ulichokitaja.
-mbili, unafanya kuwe na taswira vijana "wa vijiweni" hawana haki au hawapaswi kuwa na chama cha kisiasa.
3. Hoja yako haina mantiki.
4.Lugha uliyotumia ya ajabu mkuu, i believe it isingekugharimu chochote kuwaita vijana wa "kijiweni" kama "vijana ambao hawakubahatika kupata elimu rasmi"
..kwa kuwa unashangilia CV za wengine, si mbaya ukitupia hapa yako..MSOMI.