CHADEMA si CHADEMA tena

CHADEMA si CHADEMA tena

Naikumbuka chadema ya kina silaa na Zitto ilikuwa makini Sana tofauti na ya Leo yakina mashinji imekuwa chadema ya hovyo Sana hata hawaeleweki wanasimia nini. Kimekuwa Chama cha matamko ya ajabu ajabu wamekuwa Chama cha kutumia madiaspora kutukana serikali nasikitika. Sana kuona chadema iliyopoteza dira
 
Silaa alishaondoka na chadema yake Mkuu saivi ni kilinge cha malapulapu
 
Kama mmegundua kuna propaganda nyingi sana za kitoto zinaendelea humu jukwaani. Kuna viumbe wameanza kuja na ishu za shati sio la Lisu yani ilimradi tu kupotosha uma.

Hapo Lisu kaamka na kuongea maneno machache tu watu wanaanza kutafutana. Sasa akitoa story yote sijui itakuaje. Ninachoamini Lisu sio mjinga gari imfwatilie kwa muda mrefu hivyo bila kufahamu nani ana-coordinate hilo zoezi. Naamini akifunguka yote nchi itasimama.

Tumuombee kamanda Lisu apone haraka atueleze story yote ilivyokua.

Zaidi ya yote nawasifu chadema kwa kwenda na dereva Kenya otherwise wangeweza kumuua au kumbana abadili story.

Ndo kwaanza movie imeanza,tusubiri kuna episode za kutosha zinatusubiri kuangalia.
 
Kama mmegundua kuna propaganda nyingi sana za kitoto zinaendelea humu jukwaani. Kuna viumbe wameanza kuja na ishu za shati sio la Lisu yani ilimradi tu kupotosha uma.

Hapo Lisu kaamka na kuongea maneno machache tu watu wanaanza kutafutana. Sasa akitoa story yote sijui itakuaje. Ninachoamini Lisu sio mjinga gari imfwatilie kwa muda mrefu hivyo bila kufahamu nani ana-coordinate hilo zoezi. Naamini akifunguka yote nchi itasimama.

Tumuombee kamanda Lisu apone haraka atueleze story yote ilivyokua.

Zaidi ya yote nawasifu chadema kwa kwenda na dereva Kenya otherwise wangeweza kumuua au kumbana abadili story.

Ndo kwaanza movie imeanza,tusubiri kuna episode za kutosha zinatusubiri kuangalia.

Ukiona kimya ujue bado wanatafuta maana baada ya kumkosa Dodoma wameamua kumfuata NRB
 

Attachments

  • 98d09dacc407e05c485a29db44b88102-1.jpg
    98d09dacc407e05c485a29db44b88102-1.jpg
    56.4 KB · Views: 31
Mimi nimeshangaa media zote kupotezea hii habari kwa siku ya leo!!

Kuna jambo wameshagundua bila shaka!
 
Mimi nilikuwa naipenda sana chadema vibaya mno kwa enzi hizo. Lakini baada ya mwenyekiti Freeman mbowe kutusariti na kumchukua lowasa aisee niwe wazi siipendi tena chadema.


#nakwenda_zimbabwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo unadanganya, hukuwahi kuipenda CDM, kama uliipenda vibaya mno maana yake uliichukia sana.
Nakutakia safari njema ya Zimbabwe!
 
1ded53723b2772f07037bcb50b264ba7.jpg

what is behind with this team maana ndio wanaonekana wachangiaji wakubwa kwenye tukio la Lissu mara ooh ilikuwa hivi mara ooh ilikuwa vile je kuna mtu anajuwa hawa wajamaa wanafanya nini kwa wapinzani wao wa kisiasa
 
Naikumbuka chadema ya kina silaa na Zitto ilikuwa makini Sana tofauti na ya Leo yakina mashinji imekuwa chadema ya hovyo Sana hata hawaeleweki wanasimia nini. Kimekuwa Chama cha matamko ya ajabu ajabu wamekuwa Chama cha kutumia madiaspora kutukana serikali nasikitika. Sana kuona chadema iliyopoteza dira
Chama cha matamko na matukio
 
Mimi nilikuwa naipenda sana chadema vibaya mno kwa enzi hizo. Lakini baada ya mwenyekiti Freeman mbowe kutusariti na kumchukua lowasa aisee niwe wazi siipendi tena chadema.


#nakwenda_zimbabwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi aisee. Kwa sasa nimeamua kuiponda hii Chadema ya sasa kadri niwezavyo. Ewe Mungu nisaidie.
 
Back
Top Bottom