CHADEMA si CHADEMA tena

CHADEMA si CHADEMA tena

Mimi nimeshangaa media zote kupotezea hii habari kwa siku ya leo!!

Kuna jambo wameshagundua bila shaka!
1ded53723b2772f07037bcb50b264ba7.jpg

kuhusu hawa media iende ndani kuwauliza mbona wanajitahidi kuwa commentators wa tukio whats behind
 
Hata mimi aisee. Kwa sasa nimeamua kuiponda hii Chadema ya sasa kadri niwezavyo. Ewe Mungu nisaidie.

Mwanachama wa Chama Cha Mauaji kazi mliyopewa na Mwenyekiti wenu ni Kutoka,Kutesa na Kuua,watu kama.nyie hata siku moja hamuwezi na hamtaweza kuwa Chadema.

Miaka 55 ya Uhuru Badala ya kuongoza Maendeleo mno busy kufanya Mauaji
 
Naona vijana wa ufipa mnapambana

Hakuna anayepambana maana hakuna sababu kwani wauaji unawaacha waendelee kuua ila siku moja isiyo na jina ndipo mtajua mbovu na mbichi
Enzi za JKN mliua sitoshangaa hata sasa mkianza tabia iliyowakuza.

Miaka 55 ya Uhuru badala ya kuwa Chama Cha Siasa CCM umekuwa Chama Cha Mauaji
 
Mwanachama wa Chama Cha Mauaji kazi mliyopewa na Mwenyekiti wenu ni Kutoka,Kutesa na Kuua,watu kama.nyie hata siku moja hamuwezi na hamtaweza kuwa Chadema.

Miaka 55 ya Uhuru Badala ya kuongoza Maendeleo mno busy kufanya Mauaji
Ha ha ha, haya sawa. Sema utakavyo moyo wako uridhike.
 
Kama mmegundua kuna propaganda nyingi sana za kitoto zinaendelea humu jukwaani. Kuna viumbe wameanza kuja na ishu za shati sio la Lisu yani ilimradi tu kupotosha uma.

Hapo Lisu kaamka na kuongea maneno machache tu watu wanaanza kutafutana. Sasa akitoa story yote sijui itakuaje. Ninachoamini Lisu sio mjinga gari imfwatilie kwa muda mrefu hivyo bila kufahamu nani ana-coordinate hilo zoezi. Naamini akifunguka yote nchi itasimama.

Tumuombee kamanda Lisu apone haraka atueleze story yote ilivyokua.

Zaidi ya yote nawasifu chadema kwa kwenda na dereva Kenya otherwise wangeweza kumuua au kumbana abadili story.

Ndo kwaanza movie imeanza,tusubiri kuna episode za kutosha zinatusubiri kuangalia.
Wangetaka kumuua wangepiga risasi upande wake wa gari..huyo dereva aliyesomea Israel masuala ya ulinzi ana mengi ya kutuambia..hapa hachomoki
 
Kwahiyo kuna watu wanafikiri kuna kitu kipya kitajitokeza kigeni kwenye hili tukio?

JPM hadi 2025, hutaki hama nchi. !
 
Back
Top Bottom