Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
- Thread starter
- #41
Kesho ndio ile siku wengi wameisubiri,
Mkutano utaanza saa kumi jioni na habari njema ni kwamba mkutano utafunguliwa kwa kisomo kutoka kwa sheikh na sala kutoka kwa mchungaji
Hii ni kwa ajili ya kudumisha umoja na kuliombea taifa letu amani.
Tunaipenda nchi yetu
Mkutano utaanza saa kumi jioni na habari njema ni kwamba mkutano utafunguliwa kwa kisomo kutoka kwa sheikh na sala kutoka kwa mchungaji
Hii ni kwa ajili ya kudumisha umoja na kuliombea taifa letu amani.
Tunaipenda nchi yetu