CHADEMA, Profesa Safari yuko wapi?

CHADEMA, Profesa Safari yuko wapi?

Juzi tu hapo alikuwa kwenye Mkutano wa KK sambamba na Lowassa, Mbowe na wengineo, Unataka kuniambia hukumuona??

Au unataka kuuliza swali gani labda?

Na wewe nikuulize swali, Bernad Membe yuko wapi?

BACK TANGANYIKA
Aaaaahaaa, kijana mzima?
 
Hilo ni swali ambalo nimejiuliza sipati jibu. Nimeona niwaulize wenyewe labda mtakuja na jibu la maana.
kwani hukumwona kwenye ile picha ya kamati kuu iliyozaa UKUTA?
Hilo ni swali ambalo nimejiuliza sipati jibu. Nimeona niwaulize wenyewe labda mtakuja na jibu la maana.
kwani hukumwona kwenye picha ya kamati kuu iliyozaa UKUTA?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom