Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,996
- 32,433
Wanaukumbi.
Chadema wanapoelekea kwa sasa itakuwa kama UMD kinakufa taratibu, leo hii Chadema wanaandaa Maandamano wanakusanya Bodaboda na Bajaji zaidi ya 200 wajaze Maandamano wanamdanganya nani kama raia wamekaa maandamano yako wanawaonyesha UN ili iweje.
Nani analipa hizo pesa za mafuta na posho kwa bodaboda na bajaji au Mbowe anatoa kweye fungu la ruzuku maana ruzuku yote anakaa nayo Mbowe.
Jambo la kushangaza Chadema anaenda kushataki UN kuwa Bavicha hawana kazi maisha magumu UN atawasaidia ajira?
Hizo pesa kwa nini msianze na vikundi vya Bavicha kuwapa mitaji wafanye kilimo au ujasiliamali.
Chadema wanapoelekea kwa sasa itakuwa kama UMD kinakufa taratibu, leo hii Chadema wanaandaa Maandamano wanakusanya Bodaboda na Bajaji zaidi ya 200 wajaze Maandamano wanamdanganya nani kama raia wamekaa maandamano yako wanawaonyesha UN ili iweje.
Nani analipa hizo pesa za mafuta na posho kwa bodaboda na bajaji au Mbowe anatoa kweye fungu la ruzuku maana ruzuku yote anakaa nayo Mbowe.
Jambo la kushangaza Chadema anaenda kushataki UN kuwa Bavicha hawana kazi maisha magumu UN atawasaidia ajira?
Hizo pesa kwa nini msianze na vikundi vya Bavicha kuwapa mitaji wafanye kilimo au ujasiliamali.